The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
Sijui tunaelekea wapi. Yaaani tumepora uchaguzi na tutakuwa na 100% wabunge wa CCM. Then kuna watu humu wanashangilia..
We are going to face serious ecomonic sanctions. Hii miaka 5 inaenda kuwa migumu migumu kimaisha like ever before... Tunaenda kupigika balaa. Yaani CCM tungeiba hata kidogo na kuacha fairness kwa baadhi ya majimbo
Peleka utopolo wako huko.
Kama unadhani ubora wa maisha yako utaletwa na wanasiasa basi umefeli sana katika hilo.