Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kwao ni bora Mbowe asiingie bungeni kwa gharama yeyote lakini Livingstone Lusinde awepo.Kweli mimi sijui kwa nini wenzako wa CCM hawaoni shida kwa haya, mngeacha hata key member of parliaments warudi, hebu fikiri, Mbowe jamani? of all people, Mheshimiwa Mbowe?
Watu wa aina hiyo unadhani kichwani wana nini?