Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana

Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana

ameona mbali na kufanya maamuz sahihi. Cdm ina wenyewe naona amejiteka tu kukipa fursa chama sikivu
 
Ilikuwaje mpaka akatekwa? Hebu olevaroya na CDMhub fuatilieni kwa kifupi ilivyokuwa mpaka akatekwa!
 
Last edited by a moderator:
MM lazima atakuwa anajua kinachoendelea,atakuwa keshanunuliwa huyo!
 
Kama ikaja gundulika mgombea alitekwa na alipokombolewa muda wa kurudisha form umekwisha. Ni, taratibu gani zinatakiwa zifuatwe ili muonyesha nia huyo aweze pata haki yake?

Mwenye kujua tujuze tafadhali.
 
Hapa kuna mawili, either ametekwa, au ameamua kujiteka mwenyewe.................. Hata hivyo hili jambo limetufundisha kwamba tuwe tunawahi siku moja au mbili kabla ya siku ya mwisho kurudisha fomu.... Maana CCM wana mbinu kibao, serikali yao polisi wao usalama wa taifa wao, wanaweza kuwateka makamanda wetu siku ya mwisho.

Kata ya Mtae CCM hawakubaliki kabisa........
 
Hili ni fundisho, uchaguzi mkuu ujao chadema lazima iweke wagombea wa akiba, ili ikitokea ya kujiteka basi wale wa akiba watie timu.
Wazo zuri ila nadhani taratibu zitakuwa zina taka vyama vipeleke mgombea mmoja
 
Wazo zuri ila nadhani taratibu zitakuwa zina taka vyama vipeleke mgombea mmoja
Ndiyo, ni mmoja tu ndo anatakiwa. Hapa ni kuwabana 'hao wateule' hasa wapya, wapeleke fomu zao siku ya kwanza ya kurudisha fomu wakishindwa kufanya hiyo uteuzi wao unabatilishwa, na reserve wanatia timu kwa hati ya dharura.
 
Hapa kuna mawili, either ametekwa, au ameamua kujiteka mwenyewe.................. Hata hivyo hili jambo limetufundisha kwamba tuwe tunawahi siku moja au mbili kabla ya siku ya mwisho kurudisha fomu.... Maana CCM wana mbinu kibao, serikali yao polisi wao usalama wa taifa wao, wanaweza kuwateka makamanda wetu siku ya mwisho.

Kata ya Mtae CCM hawakubaliki kabisa........

Poleni sana Kamanda, Tatizo lenu mmejikita SOMBETINI mkasahau kata zingine.
 
Ndiyo, ni mmoja tu ndo anatakiwa. Hapa ni kuwabana 'hao wateule' hasa wapya, wapeleke fomu zao siku ya kwanza ya kurudisha fomu wakishindwa kufanya hiyo uteuzi wao unabatilishwa, na reserve wanatia timu kwa hati ya dharura.
hili lazima wahusika watalifanyia kazi.
 
Mheshiwiwa Januari Makamba hataki upinzani Jimboni kwake. Hivyo ni rahisi kumwomba mgombea wa Chadema ajifiche ili mgombea wa CCM apite bila kupingwa
 
Back
Top Bottom