Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana

Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana

Afuatiliwe huyo tena afanyiwe uchunguz ana mda gani ndani ya chama na apo mwanzo alikua chama gani na je hana mahusiano na maccm?
 
Yale yale ya nyepesi..anavuta mpunga hahaaaa.chadema bana msifanye hivi
 
Mgombea udiwani wa CHADEMA kata ya mtae jimbo la Mlalo ametekwa leo mchana na hajulikani alipo. Hajarudisha fomu za kugombea udiwani, familia inamtafuta na makamanda wa CHADEMA wanamsaka. Vijana wameapa watakesha nyumbani kwake na ikibidi wanatoka na mtu.
wakati Deo kisandu alipokuwa kiongozi hapo Lushoto ujinga huo ulikuwa haufanyiki, unajua wale viongozi waliopo Lushoto huwa wana nunulika kiulaini sana na wakiona kiongozi mmoja anawakosesha riziki kama hizo wanamtengenezea zengwe, mnakumbuka kata ya Funta, Kisandu alipambana mpaka mgombea akarudisha fomu jamaa haohao walipoona issue imefeli wakamchongea kwa John Mrema aonekane mbaya, haya sasa mgombea kauzwa na wala wasimlaumu mgombea wawabane viongozi wa wilaya ya lushoto wako vizuri kwa kuomba pesa.
 
Kama ametekwa fuatilieni hadi mwisho wake upatikane?

Na kama amejiteka akipatikana apelekwe mahakamani.
 
Mgombea udiwani wa CHADEMA kata ya mtae jimbo la Mlalo ametekwa leo mchana na hajulikani alipo. Hajarudisha fomu za kugombea udiwani, familia inamtafuta na makamanda wa CHADEMA wanamsaka. Vijana wameapa watakesha nyumbani kwake na ikibidi wanatoka na mtu.

Huyo si mgombea wa CHADEMA! Tayari CHADEMA wenzake wameshamteka. Kama ilivyo kawaida yao. Kutekana wao, kushitakiana wao, na kuteteana wao kwa wao.
 
Kwahiyo kwa akili yako ilivyo fupi kama pipi tofi, unaamini walio mteka ni CCM? Jitahidi kutoa habari kama ilivyo acha ushabiki.
kwahiyo kwa akili yako ndefu waliomteka ni cdm?
 
michezo ya aina hii itaingiza nchi kwenye machafuko aifai hata kidogo cha msingi tafuteni form nyingine kwa gharama yoyote mhakikishe imefika ikishindikana muende mahakamani mkazuie huo uchanguzi kuwa kuna mwenendo wa jinai ndani ya utaratibu wa uchaguzi ila ujinga wa aina hiyo aipaswi kuvumilika hata kidogo na siyo swala ya kuinyamazia msiwe watu wa kulia kila siku chukua hatua kupinga dhuluma yoyote dhidi ya haki ya msingi
 
michezo ya aina hii itaingiza nchi kwenye machafuko aifai hata kidogo cha msingi tafuteni form nyingine kwa gharama yoyote mhakikishe imefika ikishindika muende mahakamani mkazuie huo uchanguzi kuwa kuna mwenendo wa jinai ndani ya utaratibu wa uchaguzi ila ujinga wa aina hiyo aipaswi kuvumilika hata kidogo na siyo swala ya kuinyamazia

Kama kahusisha kuhujumu basi ni mtu asiyejitakia mema hata kidogo. Watu waliochoshwa na maisha haya halafu unawapotezea fursa ni hatari pia kwa maisha yako. Lakini jamaa hawa wa kijani nao pia ni hatari sana.
 
Wasiwasi wangu isijekua jamaa keshakula chake toka CCM,ajifiche hadi muda wa kurudisha fomu upite.kwa sasa CCM haiwezi kushinda uchaguzi wowote bila RUSHWA na WIZI WA KURA...

ccm imepoteza kibali sehemu kubwa ya nchi yetu.Kinachofanyika ni kufanya kila mbinu chafu ili ."waonekane kushinda. "Anguko kubwa kwa ccm ni dhahiri.Wananchi tumeshtuka na danganya toto yao.
 
Back
Top Bottom