Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Naona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitashangaa iwapo Tume ya Uchaguzi itakaa kimyaJiwe kachanganyikiwa!
Kwa hili utagundua kuwa hii ni tume ya kuhakikisha jiwe anatangazwa mshindi. Si ni tume yake aliyoichagua meenyewe?Nitashangaa iwapo Tume ya Uchaguzi itakaa kimya
Kama lichoko hvi tumia akili basi kufikiri[emoji1787][emoji1787]Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 [emoji817]
Jpm anafel sana hawezi kuficha chuki zake mbele ya kadamnasi
Kama lichoko hvi tumia akili basi kufikiri[emoji1787][emoji1787]
Watakaa kimya kama kawaida yao. Yeye si ndio kawateua. Unadhani wana la kufanya.Nitashangaa iwapo Tume ya Uchaguzi itakaa kimya
Dada wangu Mzee wetu alivyojichafua toilet paper tu haitoshi hata kama ni bunda zima la karatasi lakini. Hapa ni kumrudisha Dar au Dodoma na kumuosha kwa maji pipa nzima.Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯