Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Naona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
Screenshot_20200906-171207.png

Screenshot_20200906-171702.png
 
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
 
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 [emoji817]
Kama lichoko hvi tumia akili basi kufikiri[emoji1787][emoji1787]
 
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
Dada wangu Mzee wetu alivyojichafua toilet paper tu haitoshi hata kama ni bunda zima la karatasi lakini. Hapa ni kumrudisha Dar au Dodoma na kumuosha kwa maji pipa nzima.
Apewe mtu wa kumkontrol hata kwa kumnyang'anya mic.
Tukimuacha nchi ina kwenda upinzani chadema. Mpaka sasa chadema wanamvuto kuwasikiliza.
Turufu ya miradi imesikika sana kama wimbo wa taifa maana ilikuwa ndio sala ya bwana kwa miaka mitano.
Waje watu watakaoshawishi kuwapo kwa Uhuru wa kidemokrasia, amani na ustawi wa watu
 
Back
Top Bottom