Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
wewe kichwa upepo hela zinazojenga taifa ni za john au wananchi?? rudi darasani tu
 
Kosa la JPM hapo lipo wapi? hivi tambo za SIMBA na YANGA mnazisikiaga

wale wapinzani wanavyotambiana inakuaga vipi huwa? hebu kumbukeni tupo

kwenye siasa Tambo Ruksa,wewe kama unaweza kutamba tamba Hayo wala sio matisho.
 
Mi nyie watu nawashangaa sana,kauli ngumu za uongo za Tundu Lisu hamzisikii?
Mnatamani kusikia kilicho na amani mioyoni mwenu kama mtakavyo hiyo dunia na watu si mtengeneze ya kwenu?

Nyambafu
Unaunga mkono wananchi kutishwa?
 
mambo mengi mda mchache,,,,,hii nchi ina mambo ya ajabu sana,,,hii ni nchi pekee ambayo mgombea anaitwa raisi wakati yupo kwny kampeni!!
 
Kosa la JPM hapo lipo wapi? hivi tambo za SIMBA na YANGA mnazisikiaga

wale wapinzani wanavyotambiana inakuaga vipi huwa? hebu kumbukeni tupo

kwenye siasa Tambo Ruksa,wewe kama unaweza kutamba tamba Hayo wala sio matisho.
hii comment ni yako au kuna mtu anatumia account ya CONTROLA ?
 
Nitashangaa iwapo Tume ya Uchaguzi itakaa kimya

Mkuu kwa taarifa yako hata maafisa wa tume ya uchaguzi wanajua na kuona fika afanyacho Magufuli sio sawa, ila tume ya uchaguzi sio huru na wao wanaangalia mlo wao. Bila wapinzani kuchukua hatua hata wao watakaa kimya ili kulinda vibarua vyao. Kwa tabia hizi za Magufuli, ukondoo wa wapinzani tu ndio utaepusha machafuko na mauaji nchi hii. Kwa wale ambao walikuwa hawaamini kuwa cheo cha rais kikatiba kina madaraka makubwa isivyo stahiki, wote wanajionea kwa vitendo sasa.
 
Mi nyie watu nawashangaa sana,kauli ngumu za uongo za Tundu Lisu hamzisikii?
Mnatamani kusikia kilicho na amani mioyoni mwenu kama mtakavyo hiyo dunia na watu si mtengeneze ya kwenu?

Nyambafu

Kauli za Lisu ni kwa ajili ya kupambana na huyu dhalimu.
 
Ila ni bora anayeonesha rangi zake halisi mapema ili upate la kuamua wewe mwenyewe.. jpm ni kama Trump

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Keshadhihirisha rangi yake na msimamo wake. Ni nafasi ya wananchi kukubaliana nae au kuangalia njia nyingine mbadala yenye chachu ya mabadiriko. At least Tundu ameweka wazi kuwa hayuko tayari kuona anazulumiwa
 
Jpm anafel sana hawezi kuficha chuki zake mbele ya kadamnasi
Mkuu anaonekana chuki zimemtawala sana tangia kitambo. Naimani hata zile tumbuatumbia zingine zilikuwa kwaajili cha chuki binafsi.
 
Ila nyie makamanda si mnasema uchaguzi ukija mnaingia Ikulu sasa hofu ya nini mzee mzima akisema hivyo.....kwahio mnajua tayari jamaa ameshashinda ndo maana mmeogopa?
 
Kwa nini NEC hawajamfuta hadi sasa kwani anajuaje kama atapatiwa kura za kutosha?
 
Dr. Bashiru ndiyo amefelisha hizi kampeni za CCM yani hapo lazima mataga waombe msaada kwa wakongwe.
Kuanzia kesho tutarajie mawaziri na marais wastaafu kupanda kwenye jukwaa la CCM kujaribu kumnusuru Mzee Pombe.

Kinana anawachekea tumboni 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom