Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Alipokuwa magu aliwambia au niondoke? As if kuwepo pale ni upendeleo kwa wana wa magu kumbe yy ndo wanaimba kura. Hovyo kabisa huyu mgombeaNEC hawana confidence ya kumkabili John
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipokuwa magu aliwambia au niondoke? As if kuwepo pale ni upendeleo kwa wana wa magu kumbe yy ndo wanaimba kura. Hovyo kabisa huyu mgombeaNEC hawana confidence ya kumkabili John
Andamana sasa mbuzi wakushikishe adabuBora wapinzani ni mbuzi lakini wanafanya mambo kama binadamu kuliko nyinyi binadamu lakini mnaishi na kuwaza kama mbuzi.
Mnafikiri kikabila na kikanda tuawatishe wapigakura wa mikoa ya kipuuzipuuzi
KWA KWELI MUDA WA KUMPUMZISHA MAGUFULI UNAKARIBIA KWA KASI SANA.
Kauli gani hizi za kibaguzi? Kwani maendeleo anayaleta kutoka hela za mfukoni mwake?
Kwani wananchi wanaochagua upinzani hawalipi kodi kwa ajili ya kupata maendeleo yao bila kujali wamemchagua nani?
Inasikitisha sana kuona mtu wa kauli kama hii eti ndiye Rais wa nchi. Hajitambui kabisa
Think like a real Man;Hiyo haki ya kuwapangia wengine cha kufanya umeitoa wap?Andamana sasa mbuzi wakushikishe adabu
Sipingani na chama chochote wala sina chama chochoteThink like a real Man;Hiyo haki ya kuwapangia wengine cha kufanya umeitoa wap?
Swali gani sasa hili ndugu yangu? au ndo kujaza server za Jf kwenyewe?Sipingani na chama chochote wala sina chama chochote
Umeshawahi kujiuliza tukishaipora nchi Ccm tunampa nani?
Swali gani sasa hili ndugu yangu? au ndo kujaza server za Jf kwenyewe?
Yaani mitano tena?Tutakuwa tumefariki sote kwa mateso,alisema ataongeza zaidi maana hii mitano ya kwanza zilikuwa ni rasharasha.Tutalimia meno hakika.Haya nayo yatapita. Mungu mkubwa miaka mitano sio mingi kiviile....
Mungu atatuhifadhiQ
Yaani mitano tena?Tutakuwa tumefariki sote kwa mateso,alisema ataongeza zaidi maana hii mitano ya kwanza zilikuwa ni rasharasha.Tutalimia meno hakika.
Hii ni kauli ya hatari sana, anapaswa atambue kuwa yeye ni rais wa waislamu, wakristo, Hindu, wapagani, wenye vyama na wasio na vyama, waliomchagua na waliompinga nk . Na ukishachaguliwa una angalia nchi kwa ujumla wake, na yeye anatunzwa yeye na familia yake na kodi za watanzania wote , hata wale waliompinga/wanaompinga. Haiwezekani ukasema nyama ya nguruwe haramuhalafu mchuzi wake unakunywa,Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
Mbona unaandika huku ukitokwa na jasho na vishuzi vya jumlajumla kwa mbali? Si mlisema mna mbinu 7000 na mshatumia 1? Kwani shida nini hadi ayaongee kwenye kadamnasi yale ambayo huyafanya sirini?Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
Hahahaaaaaahaaaa eti "Mkiamua"Dada wangu Mzee wetu alivyojichafua toilet paper tu haitoshi hata kama ni bunda zima la karatasi lakini. Hapa ni kumrudisha Dar au Dodoma na kumuosha kwa maji pipa nzima.
Apewe mtu wa kumkontrol hata kwa kumnyang'anya mic.
Tukimuacha nchi ina kwenda upinzani chadema. Mpaka sasa chadema wanamvuto kuwasikiliza.
Turufu ya miradi imesikika sana kama wimbo wa taifa maana ilikuwa ndio sala ya bwana kwa miaka mitano.
Waje watu watakaoshawishi kuwapo kwa Uhuru wa kidemokrasia, amani na ustawi wa watu