T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Yaani mtu wa upande wa pili wangesemajeSijawahi ona MTU anachuki kiasi hiki,ukizingatia nafasi aliyonayo hii haijakaa vyema,angekuwa was upande was pili kasema hayo moto ungewaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mtu wa upande wa pili wangesemajeSijawahi ona MTU anachuki kiasi hiki,ukizingatia nafasi aliyonayo hii haijakaa vyema,angekuwa was upande was pili kasema hayo moto ungewaka
Tumia akili yako uliyopewa na Mungu vizuri bro. Huyu ni raisi aliyepo madarakani mpaka sasa, anapotoa vitisho hadharani kwa walio chini yake ni sawa? Kwamba wasipomchagua ama wakichagua wapinzani watajuta? Kweli? Mpaka hapo alipo anaweza kutengua na kuteua yoyote amtakaye kwa sababu bado ni raisi. Sasa asitumie uraisi wake kuleta vitisho wakati sie tunajinasibu kwamba ni nch ya kidemokrasia. Demokrasia ni kitendo cha raia walio huru kuchagua wakitakacho, sio kwa kulazimishwa. Otherwise angepiga kampeni kutokea kwake, sio kutokea Ikulu.Kosa la JPM hapo lipo wapi? hivi tambo za SIMBA na YANGA mnazisikiaga
wale wapinzani wanavyotambiana inakuaga vipi huwa? hebu kumbukeni tupo
kwenye siasa Tambo Ruksa,wewe kama unaweza kutamba tamba Hayo wala sio matisho.
Huyu jamaa atakuwa ameshaehuka,kwani uchaguzi aliitisha wa Nini? Si angesingizia tu corona akaahirisha uchaguziNaona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
View attachment 1560709
View attachment 1560714
Naona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
View attachment 1560709
View attachment 1560714
umoja hawana ukijarbu tu yanakukuta ya napeNEC hawana confidence ya kumkabili John
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
Mkuu nenda kaandamane, acha kubweka 🗣️ huku mitandaoni...!NEC ipi sasa? Hii iliyoteuliwa na yeye? Kuwa serious kidogo Basi. Kama huwezi andamana usitegemee mabadiliko
Mavi yangu yanathamani kuliko wewe🚶We ni mzigo kwa taifa hili...mbwa wangu ana thamani ya kuishi kuliko wewe
Umewahi kusikia kitu kinaitwa maadili ya uchaguzi?Kosa la JPM hapo lipo wapi? hivi tambo za SIMBA na YANGA mnazisikiaga
wale wapinzani wanavyotambiana inakuaga vipi huwa? hebu kumbukeni tupo
kwenye siasa Tambo Ruksa,wewe kama unaweza kutamba tamba Hayo wala sio matisho.
Naona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
View attachment 1560709
View attachment 1560714
Kwa fedha za benki ya chato?. Ndii maana nasema mtaji mkubwa wa ccm ni wajinga walio wengi na wapumbavu wachache kama wewe. Hivi aliyafanya kwa fedha zake za mfukoni au kwa kodi?.Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 [emoji817]
Hapa hamna uchaguzi,yaani mtu anawaambia kabisa eti mkiniletea mtu wa chama kingine mtaniudhi wakati yeye mwenyewe ni mgombea,katoa kauli kama teyari ameshaapishwaNaona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
View attachment 1560709
View attachment 1560714
Mi nyie watu nawashangaa sana,kauli ngumu za uongo za Tundu Lisu hamzisikii?
Mnatamani kusikia kilicho na amani mioyoni mwenu kama mtakavyo hiyo dunia na watu si mtengeneze ya kwenu?
Nyambafu
Mavi yangu yanathamani kuliko wewe🚶
Haa haa haa umenikumbusha kauli fulani za utotoni za kuficha matusiI
lazima utakuwa unagwapi manyu wewe, si bure.....
Wanaccm bwana,Eti Mambo aliyofanya Magufuli,Mambo gani hayo,Sasa Kama amefanya Mambo kitu gani kinafanya alie lieUkweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..
Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!
#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
Hv anavosemaga maendleo hayana vyama huwa anamaanisha nn wakuu??
😂😂😂😂Andamaneni sasa mbuzi nyie
Kamtu kamoja kana ID tano kanaanzisha uzi na kujijibu