Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Uchaguzi 2020 Mgombea urais anatoa vitisho kwa wananchi, NEC shughulikieni hilo

Na hapo anaingia katika historia ya Ma-Rais wa Tz!!! Kwamba aliwahi kuwepo rais jiwe bin mwamba? Rais wa Tz jukumu lake ni kuongoza serikali, serikali inakusanya kodi ambayo pamoja na kusambaza maendeleo bila kujali chama cha Rais, ndio hiyo hiyo inayomtumza yeye na familia yake. Kodi inakusanywa kutoka kwa au inalipwa na kila Mtanzania bila kujali kabila, jimbo, chama, dini, jinsia, nk.

And then mtu anayejiita Rais (tena Jiwe) anajivunia kuwanyima maendeleo majimbo ambayo hayachagui m-CCM. Mbona majimbo takribani asilimia 80 yalikuwa chini ya CCM katika muhula wake wa kwanza na bado wanalia na huduma za msingi kabisa za kibinadamu kv maji safi (achana na kuwa salama), matibabu, elimu (juzi pale Mkuranga aliwakemea wakurugenzi kuhusu watoto wa shule za msingi na sekondari kukosa madawati.

Kwa hivyo jimbo la Mkuranga lilikuwa na mbunge wa upinzani ndio maana walinyimwa pesa za madawati?). Ninakubaliana na M-JF aliyeleta neno utopolo, Huu ni utopolo mtupu. Hajui wajibu wa Rais na hajui wajibu wa mbunge (pamoja kuwa mbunge wa Chato kwa miaka 20).
 
Jiwe kachanganyikiwa!
Mi nyie watu nawashangaa sana,kauli ngumu za uongo za Tundu Lisu hamzisikii?
Mnatamani kusikia kilicho na amani mioyoni mwenu kama mtakavyo hiyo dunia na watu si mtengeneze ya kwenu?

Nyambafu
 
Hili linashangaza sana Wana vibur sababu wanajua tume itawabeba ndo maana wananch wanadharauliwa maamuz yao.
 
Hakuna sababu ya kuingingia ktk uchaguzi chini ya usimamizi wa tume hii.
 
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 [emoji817]
Acha kutetea ujinga, tumia akili yako ya kuzaliwa. Nyie ndo mnamfanya azidi kuharibu badala ya kurekebisha
 
Naona uchaguzi huenda usiwe huru na wa haki kutokana na vitisho vya baadhi ya wagombea. Je, iko wapi demokrasia ya kumchagua unayemtaka? Hii sasa kali "Chagueni CCM au chagueni MAJUTO" by JPM.
View attachment 1560709
View attachment 1560714
Duh...!!! What does this imply?
Are we in a democratic country au tunaigiza tu kumbe udikteta ulishasimikwa tangia zamani. Now it's a time to separate white and black colours.
 
I
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
lazima utakuwa unagwapi manyu wewe, si bure.....
 
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 💯
Hata ikiwa hawawezi bado watu wana uhuru wa kumchagua wamtakaye
 
Ila ni bora anayeonesha rangi zake halisi mapema ili upate la kuamua wewe mwenyewe.. jpm ni kama Trump

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ndio huo.. hakuna wa upinzani atafanya hata 2% ambayo Magufuli amefanya hadi sekunde hii..

Na sijaona ni kitisho yeye kwani kushika panga n.k au maiki??? bali ukweli.kausema.. yeye ni Jembe.. kwamba yeye ndiye atawapa watakayo.. Munaweweseka kuita kitisho... eeeeh hao wenu maneno yao sio vitisho pia!!!!

#Magufulitanotena
Magufuli 2020 [emoji817]
Mgombea wenu ameishiwa hoja amebaki kuwatishia wananchi eti wakiwachagua wapinzani watajuta. Kwani hao wapinzani siyo watanzania?
 
QUOTE="WAIKORU, post: 36602471, member: 343181"]
I

lazima utakuwa unagwapi manyu wewe, si bure.....
[/QUOTE]
Umeamua kumwambiliamo
 
Back
Top Bottom