Anthony Mtaka
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 317
- 94
MCHAMBUZI upo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka mitatu iliyopita (2012), tulitabiri (kwa uchambuzi) kwamba mgombea Urais (CCM) 2015 ni aidha Bernard Membe au January Makamba. Je utabiri huo utatimia?
MCHAMBUZI upo??
Miaka mitatu iliyopita (2012), tulitabiri (kwa uchambuzi) kwamba mgombea Urais (CCM) 2015 ni aidha Bernard Membe au January Makamba. Je utabiri huo utatimia?
Hii ilikuwa ni post ya Nov 12, 2012!.Mkuu Mchambuzi, saa hizi nimesha pata kidogo, nikitulia nitakusoma kwa kituo na kukukumbusa ni lini na wapi mimi nilisema 2015 ni Magufuli, tatizo Magufuli hatabiriki, anaweza kuja kugeuka dikiteta wa ajabu hadi kuja kuwachenjia hata CCM wenyewe.
You are extremely insightful, I give you that.Mkuu Mchambuzi, saa hizi nimesha pata kidogo, nikitulia nitakusoma kwa kituo na kukukumbusa ni lini na wapi mimi nilisema 2015 ni Magufuli, tatizo Magufuli hatabiriki, anaweza kuja kugeuka dikiteta wa ajabu hadi kuja kuwachenjia hata CCM wenyewe.
HahahahahMkuu Mchambuzi, saa hizi nimesha pata kidogo, nikitulia nitakusoma kwa kituo na kukukumbusa ni lini na wapi mimi nilisema 2015 ni Magufuli, tatizo Magufuli hatabiriki, anaweza kuja kugeuka dikiteta wa ajabu hadi kuja kuwachenjia hata hao CCM wenyewe.
Pascal Mayalla katika watu wanaoona mbali (watabiri) bado nakupa 100%Hii ilikuwa ni post ya Nov 12, 2012!.
P
Hii aya ndiyo iliwapukutisha watajwa sifa za kuwa halali kupewa kijiti cha kuwakilisha vyama vyao.Mwisho kabisa niseme tu kwamba nia yangu hapa sio kupigia debe viongozi hawa wawili kwani mbali ya siasa za NEC nilizojadili na pia conditions nilizojadili hapo juu, bado wana kazi kubwa ya kuaminisha watanzania kwamba atakayepita atakuwa Rais Bora na sio Bora Rais; Na mpaka tufikie hatua hiyo, Chadema wakifanyia kazi mapungufu yao, Rais Bora kwa Tanzania 2015 ni Tundu Lissu, na hii ni changamoto kwa Wagombea wa CCM kwamba muda ukifika, waanze kujieleza kwa wananchi kwamba wanasimamia ISSUES gani, kwani suala la PERSONALITY halitakuwa kigezo tosha cha kumpelekea mgombea Urais ikulu 2015; Inawezekana huko mbeleni wagombea wa CCM wataanza kunadi issues wanazosimamia, lakini mpaka tufike huko, mimi binafsi nadhani iwapo
Nabii hakubaliki kwao...Mkuu Mchambuzi, saa hizi nimesha pata kidogo, nikitulia nitakusoma kwa kituo na kukukumbusa ni lini na wapi mimi nilisema 2015 ni Magufuli, tatizo Magufuli hatabiriki, anaweza kuja kugeuka dikiteta wa ajabu hadi kuja kuwachenjia hata hao CCM wenyewe.