Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Huyu ukiwambia watu ni ccm anakamilisha malengo ya ccm watakwambia ni mpinzanIla Membe anahangaika nini?
Washauri wake naoni viazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ukiwambia watu ni ccm anakamilisha malengo ya ccm watakwambia ni mpinzanIla Membe anahangaika nini?
Washauri wake naoni viazi.
Mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo pamoja na mgombea mwenza Profesa Omar Hamad leo Agosti 7, 2020, tayari wamekwishachukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za NEC Jijini Dodoma.
Berbard Membe ndo nani mkuu? Ebu jaribu kusoma vizur ulichoandika before ya ku post hapa
Amtaje jina?Anaenda kumtoa ikulu bwana yule...sjui kwanini anaogopaga kumtaja jina!!
Ndo huyohuyo kwani huoni sura yake kwenye picha?Berbard Membe ndo nani mkuu? Ebu jaribu kusoma vizur ulichoandika before ya ku post hapa
Teh teh teh teh!Kumekucha kwa wenye Hati miliki ya upinzani nchini.
Hatimaye muda wa kumuua mbwa kwa kumuita majina mabaya umewadia.
Hii ndio hofu yangu, kama kweli angekuwa mpinzani angemuunga mkono Tundu Lissu, the guy he is in opposition wing for a special mission like Lowasa.Mtu yeyote anayeamini kuwa Membe ni mpinzani basi huyo ana ukichaa ambao hata Mirembe hawawezi kuutibu
Huyo ndio JASUSI Mbobezi , Huku NIYEYE huku JASUSI wakimpa za Uso JIWE.Mgombea urais wa JMT mh Membe wa ACT wazalendo leo amechukua fomu za kugombea katika ofisi za tume ya uchaguzi jijini Dodoma.
Kila la kheri.
Source Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Hii ni hofu kwangu, baadae inawezekana vipi kama form kashachukua NEC? Inanijilia kwa ugumu flani kuamini kama jamaa ni mpinzani wa kweli.Hivi Membe kabisa yupo serious ?Hope mbeleni atamwachia Lissu. To be honest Ukijumlisha kura za zote upinzani mwaka 2015 ,upinzani walimshinda Magufuli tatizo ushindi wao waliugawana.
Anaacha tu kurudisha.Hii ni hofu kwangu, baadae inawezekana vipi kama form kashachukua NEC? Inanijilia kwa ugumu flani kuamini kama jamaa ni mpinzani wa kweli.
Wanakera Sana Hawa...uongo mtupuI thought they had teamed up with Chadema!!!!
Hata sasa wapinzani wamegawanyika kwa kuwa kila mmoja anafikiri anatosha kuingia Ikulu.Hivi Membe kabisa yupo serious ?Hope mbeleni atamwachia Lissu. To be honest Ukijumlisha kura za zote upinzani mwaka 2015 ,upinzani walimshinda Magufuli tatizo ushindi wao waliugawana.
OK time will tell. Naimani hawakumwalika Lissu kwenye mkutano wao mkuu ile juzi na kuhutubia kwa bahati mbaya. Let's wait and seeAnaacha tu kurudisha.