kibali
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 504
- 425
Yawezekana siyo yeye amependa kuangaika mkuu ila anaangaishwa,tumuonee huruma.Ila Membe anahangaika nini?
Washauri wake naoni viazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana siyo yeye amependa kuangaika mkuu ila anaangaishwa,tumuonee huruma.Ila Membe anahangaika nini?
Washauri wake naoni viazi.
Unaenda mwenyewe na mbobezi wakoTulieni tunaenda na Mbobezi 2020
Hivi Membe kabisa yupo serious ?Hope mbeleni atamwachia Lissu. To be honest Ukijumlisha kura za zote upinzani mwaka 2015 ,upinzani walimshinda Magufuli tatizo ushindi wao waliugawana.
Kwenye CV yake anataka iandikwe aliwahi kugombea Urais kwa tiketi ya chama cha upinzani.Ila Membe anahangaika nini?
Washauri wake naoni viazi.
Tulia we binti, Makamanda tumeshakubaliana kitambo kuwa 2020 tunaenda na MembeUnaenda mwenyewe na mbobezi wako
Huenda yupo upinzani kimkakati yaani kupunguza kura za mgombea urais wa Chadema.Mtu yeyote anayeamini kuwa Membe ni mpinzani basi huyo ana ukichaa ambao hata Mirembe hawawezi kuutibu
Huenda yupo upinzani kimkakati yaani kupunguza kura za mgombea urais wa Chadema.Mtu yeyote anayeamini kuwa Membe ni mpinzani basi huyo ana ukichaa ambao hata Mirembe hawawezi kuutibu
Hao makamanda itakuwa ni wale ambao sasa hivi hawana uelekeo lijuakali na wenzieTulia we binti, Makamanda tumeshakubaliana kitambo kuwa 2020 tunaenda na Membe
Teh teh teh teh, Ni Makamanda wa humu humu ukute na wewe ni mmoja wapo, tufanye tufukue kaburi moja humu uone😂😂😂😂tatizo la Makmanda ni Bendera fata upepo. Nakumbuka kabisa humu tushasema tunaenda na Mbobezi, nashangaa Mbobezi kachukua form watu wanalalama, anyways hainishangazi pia maana mnao uzoefu wa kuchange gia angani😂😂😂😁Hao makamanda itakuwa ni wale ambao sasa hivi hawana uelekeo lijuakali na wenzie
Unajua maana ya ' special mission' ? Hatujaongelea misaada hapa.Mbona hata Magufuli ndo anaomba misaada kwa hao mabeberu. Bila mabeberu kuwapa misaada mbona wote mtakufa kwa kwa malaria,kipindupindu,Ukimwi n.k
Membe ni CCM kwa 100%+Mtu yeyote anayeamini kuwa Membe ni mpinzani basi huyo ana ukichaa ambao hata Mirembe hawawezi kuutibu
Kwenye CV yake anataka iandikwe aliwahi kugombea Urais kwa tiketi ya chama cha upinzani.
Hakuna cha special mission wala nini.Unajua maana ya ' special mission' ? Hatujaongelea misaada hapa.