Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC

Hivi Membe kabisa yupo serious ?Hope mbeleni atamwachia Lissu. To be honest Ukijumlisha kura za zote upinzani mwaka 2015 ,upinzani walimshinda Magufuli tatizo ushindi wao waliugawana.
Bado mnamwamini zitto??

Kwanini upinzani nchii hii hatujifunzii tu
 
Hisia zangu zinanituma kuwa Membe huenda yupo ACT kimkakati! Atagawa kura za Tundu Lissu na kumpa gap kubwa la kiuongozi Mzee baba.

Kama Membe atapata kura basi hizo kura hazitakuwa za yeyote yule in the first place bali ni zake. Usiwafanye wananchi kuwa hawajui wa kumchagua
 
Reactions: PNC
Hapa nimekuelewa
 
Asante upinzani hii ni tactic pia ya kijasusi.

Thanks tumeelewa.
 
Huyu kachero ni mharibifu tu maana nna uhakika baada ya uchaguzi ataombara radhi na kurejea ccm....

Tunakwenda na Tundu Lissu
Huyu Membe ni mpinzani wa Magufuli sio CCM
 
ukishiba maharage tembea na toilet paper sio unakunya tu kila sehem
 
70%Hiii ni kiwango tosha cha kuua Corona virus na sio urais kwa Tundu
 
Hivi Membe kabisa yupo serious ?Hope mbeleni atamwachia Lissu. To be honest Ukijumlisha kura za zote upinzani mwaka 2015 ,upinzani walimshinda Magufuli tatizo ushindi wao waliugawana.
Ebu tupe kwa tarakimu tuone kama walimshinda. Maneno ya kutunga hayana uhakika - hata iweje.
 
CDM acheni ubinafisi na uchoyo wa fisi kila mmoja ashinde mechi zake bila kumtegemea mwenzake. Mwaka 2015 wenzenu CUF na NCRR waliwaunga mkono mkajiona mnakubalika, sasa ni zamu yenu kuwaunga mkono wenzenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…