Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Huo ni mkakati wa kumpa nguvu mgombea mmoja wa upinzani mwenye nguvu, imetokana baada ya Membe kupoteza umaarufu ikabidi Zitto ampige counter attack.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukawa ilivyoumizwa baada mamvi kurudi sisiem inamaana ZZK haku sense hii.Swali: Yupo wapi Bernard Membe?
Je, nini kimekwamisha Membe ?
Je, Membe alikuwa anatania kugombea uraisi....
Anaandaa mambo mengi ya CDM baada ya October. Membe amekuwa muungwana sana anastahili cheo kizuri baadaye.Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo ndugu Benard Membe hajaonekana hadharani yapata mwezi mmoja sasa (kwa maana ya kutofanya kampeni).
Mara ya mwisho niliona andiko lake Twitter akitoa salamu za pole kwa kiongozi mkuu wa Chama chake Zitto Kabwe aliyekuwa akipatiwa matibabu Mjini Dar es Salaam baada ya kupata ajali huko Kigoma.
Membe ame-give up? Yuko wapi Kwasasa n ipi itakuwa hatima yake kisiasa baada ya uchaguzi mkuu?
Elewa mada inasemaje? Mleta mada ameuliza yuko wapi!?Wameungana na Chadema ila kipigo kipo pale pale October 28
Anamalizia Kwanza 'Mapigano' yake na 'Mganga' wake ya kwanini 'Ajali' ya Wiki iliyopita 'haikuondoka' na Mtu ili 'ajimilikishe' Chama Kipya rasmi?Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo ndugu Benard Membe hajaonekana hadharani yapata mwezi mmoja sasa (kwa maana ya kutofanya kampeni).
Mara ya mwisho niliona andiko lake Twitter akitoa salamu za pole kwa kiongozi mkuu wa Chama chake Zitto Kabwe aliyekuwa akipatiwa matibabu Mjini Dar es Salaam baada ya kupata ajali huko Kigoma.
Membe ame-give up? Yuko wapi Kwasasa n ipi itakuwa hatima yake kisiasa baada ya uchaguzi mkuu?
Membe was a spare in case Tundu lissu ange katwa.
Ccm walimpitisha wakidhani atagawa kura na Membe.
Kumbe weingizwa mkenge na upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Membe NI sawa na ale watu wanaorubuniwa na motivational speakersMgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo ndugu Benard Membe hajaonekana hadharani yapata mwezi mmoja sasa (kwa maana ya kutofanya kampeni).
Mara ya mwisho niliona andiko lake Twitter akitoa salamu za pole kwa kiongozi mkuu wa Chama chake Zitto Kabwe aliyekuwa akipatiwa matibabu Mjini Dar es Salaam baada ya kupata ajali huko Kigoma.
Membe ame-give up? Yuko wapi Kwasasa n ipi itakuwa hatima yake kisiasa baada ya uchaguzi mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niguse Ninuke
Nikishasaini Kitabu Kwa Kalamu Nyekundu Pale Taifa.
Nitakwenda Hotel Kula Chakula Kitamu Na Mke Wangu