Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuu, kuna Mgombea Urais mmoja leo amelalamika sana akituhumu watu wa vyama vingine kujitokeza kugombea nafasi ya urais, akisema kuwa mbona Mkapa, Kikwete na Mwinyi wao walipewa miaka kumi? Anahoji kwani yeye ana makosa gani? Nimeshindwa kuelewa wakuu kwani hao aliowataja walipita bila kupingwa? Kwenye kumbukumbu zangu nakumbuka wote hao waligombea na wapinzani waliweka wagombea urais, sasa huyu wa leo kusema maneno hayo nimeshindwa kabisa kumwelewa.
Lakini kuna kitu nimekigundua kuwa huyu mtu hapendi kupingwa, kumbe ndio maana hata kushauriwa au kukosolewa alikataa katakata nimejaribu kugmfuatilia hata huko nyuma kumbe kwenye ubunge Siku zote alikuwa anapita bila kupingwa alikuwa anafanya vigisu vigisu hadi wenzake wanaondolewa, ni tabia yake.
Pia nimejiuliza kwani anapolalamika kuwa wenzake walipewa miaka kumi inamaana ameishajua kuwa Watanzania wamemkataaa? Swali langu amejuaje kuwa hatapita? Amejuaje kuwa mwisho wake ni miaka mitano? OK tunashukuru kajua kuwa watanzania wameishasema no.
Niwakbushe kitu ambacho hamkijui "MANENO YANAUMBA"
Kumbe hata hiii ya kuua democracy huyu mzee ni kitu kilicho kwenye damu, na maneno hayo aliyoyasema kayasema mara kwa mara na si Dalili Nzuri Mtumishi Kama huyu kupewa nchi nihatariiiii kuliko mnavyofikiri mtu kama huyu anaweza kukugeuka mtu yoyote uwe CCM Au upinzani, uwe ndugu au usiwe ndugu, watu wa aina hiii hawapaswi kuwaachwa wakapita wakuuu chukueni tahadhali mtu kama huyu anaumiza kote kote na watu kama hawa hawaondokagi madarakani mtakuja kujuta huko mbeleni, leo utamuunga mkono kesho atakugeuka itakula kwako unaemuunga mkono kisa uko nae kwa sasa.
Hivi mwanamume anaemtongoza mwanamke anaenda Kwa kigezo kuwa mbona Fulani ulimkubalia kipindi kile? Kwan nini Mimi unaninyima? Tobaaa
Mnasema mtapita Kwa asilimia tisini, mnaimba nyimbo kila kukicha kuwa mtapita Kwa kishindo huku mnatenda ukatiri wa kiwango cha juuu ili mpate viti maaalum, sasa kila kitu chenu mnatumia vitu vyoote vya serikali sasa mnaogopa nini kuruhusu kuingia uwanjani? Kama mnajiweza mnakaa na kuimba imba kuwa mtapata kura nyingi, huku mnafanyia ukatiri mwanamke Yule wa mlimba mnamuogopa mwanamke? Halafu mnaimba mapambio kuwa mtashinda Kwa kishindo? Utwmshindaje? Mnashindana na Nani?
Mama wa mlimba amewasilisha risti anewakabidhi Kwa Picha na video, Mkurugenzi amepokea mkononi risiti video inaonekana akishukuru kupewa, anamwiita Afisa wake anamkabidhi Kwa mkono video inaonekana hadharani anaagiza waandikie kwenye kitabu huku anakenua Meno video yoooote inamuonesha had mkono wa kupokea Halafu mnamwambia kuwa weka pingamizi kuwa hakuleta risiti, Loooh hata mshiba wa aibu Hamna? Huku mnatamba kuwa mnapendwa huku mnatenda ukatiri, ole wenu hiii haikutokea tarime tungewashikisha adhabu, tungewaambia wanaume kuwa hamkutendewa nyie tumetendewa sisi ngoja tuwanyoooshe wenyewe, mnabahati nyie sio huku tarime
Mijitu Kama hiii ikishtakiwa wa wababe wenzao inaaaza kusema mara ooh mabeberu. Msipomrudisha mtakuja kutajana tunawwambia
Lakini kuna kitu nimekigundua kuwa huyu mtu hapendi kupingwa, kumbe ndio maana hata kushauriwa au kukosolewa alikataa katakata nimejaribu kugmfuatilia hata huko nyuma kumbe kwenye ubunge Siku zote alikuwa anapita bila kupingwa alikuwa anafanya vigisu vigisu hadi wenzake wanaondolewa, ni tabia yake.
Pia nimejiuliza kwani anapolalamika kuwa wenzake walipewa miaka kumi inamaana ameishajua kuwa Watanzania wamemkataaa? Swali langu amejuaje kuwa hatapita? Amejuaje kuwa mwisho wake ni miaka mitano? OK tunashukuru kajua kuwa watanzania wameishasema no.
Niwakbushe kitu ambacho hamkijui "MANENO YANAUMBA"
Kumbe hata hiii ya kuua democracy huyu mzee ni kitu kilicho kwenye damu, na maneno hayo aliyoyasema kayasema mara kwa mara na si Dalili Nzuri Mtumishi Kama huyu kupewa nchi nihatariiiii kuliko mnavyofikiri mtu kama huyu anaweza kukugeuka mtu yoyote uwe CCM Au upinzani, uwe ndugu au usiwe ndugu, watu wa aina hiii hawapaswi kuwaachwa wakapita wakuuu chukueni tahadhali mtu kama huyu anaumiza kote kote na watu kama hawa hawaondokagi madarakani mtakuja kujuta huko mbeleni, leo utamuunga mkono kesho atakugeuka itakula kwako unaemuunga mkono kisa uko nae kwa sasa.
Hivi mwanamume anaemtongoza mwanamke anaenda Kwa kigezo kuwa mbona Fulani ulimkubalia kipindi kile? Kwan nini Mimi unaninyima? Tobaaa
Mnasema mtapita Kwa asilimia tisini, mnaimba nyimbo kila kukicha kuwa mtapita Kwa kishindo huku mnatenda ukatiri wa kiwango cha juuu ili mpate viti maaalum, sasa kila kitu chenu mnatumia vitu vyoote vya serikali sasa mnaogopa nini kuruhusu kuingia uwanjani? Kama mnajiweza mnakaa na kuimba imba kuwa mtapata kura nyingi, huku mnafanyia ukatiri mwanamke Yule wa mlimba mnamuogopa mwanamke? Halafu mnaimba mapambio kuwa mtashinda Kwa kishindo? Utwmshindaje? Mnashindana na Nani?
Mama wa mlimba amewasilisha risti anewakabidhi Kwa Picha na video, Mkurugenzi amepokea mkononi risiti video inaonekana akishukuru kupewa, anamwiita Afisa wake anamkabidhi Kwa mkono video inaonekana hadharani anaagiza waandikie kwenye kitabu huku anakenua Meno video yoooote inamuonesha had mkono wa kupokea Halafu mnamwambia kuwa weka pingamizi kuwa hakuleta risiti, Loooh hata mshiba wa aibu Hamna? Huku mnatamba kuwa mnapendwa huku mnatenda ukatiri, ole wenu hiii haikutokea tarime tungewashikisha adhabu, tungewaambia wanaume kuwa hamkutendewa nyie tumetendewa sisi ngoja tuwanyoooshe wenyewe, mnabahati nyie sio huku tarime
Mijitu Kama hiii ikishtakiwa wa wababe wenzao inaaaza kusema mara ooh mabeberu. Msipomrudisha mtakuja kutajana tunawwambia