Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu fikiri hata yeye alikuwa mtumishi anajua mateso ya kuishi Kwa mshahara lakini amethubutu kutoongeza mshahara miaka mitano mfululizo, huyu si mwenzetu hata Cheti cha kuzaliwa Hana.Ndo maana nawashangaa sana watu wanaomshabikia huyu mtu
Kwahiyo watu waendelee kufa?
Mbuzi wewe!
Lowassa alikuwa na nguvu gani? Hata kuongea alikuwa haongei eti Peoplez Power!! elimu, elimu, elimu. Halafu anakaa
Ulitumia nini kujiamini kwa sababu inaonyesha akili hujajaliwa
Ni wapi nimesema nina kadi ya chama chochote kile??? Hata ukitafuta posts zangu zote ndani ya JF sijasema ni mwanachama wa chama cha kisiasa fulani..
Issue ya uhuru wewe umeiona ni Jambo Dogo? Unajua maana Ya uhuru? Mdogo Mdogo utaelewa yooote Kama umeelewa Jambo kubwa Kama hilo na umemkubali basi hayo madogo madogo pia utayaelewa tu ni muda