Lowassa alikuwa na nguvu gani? Hata kuongea alikuwa haongei eti Peoplez Power!! elimu, elimu, elimu. Halafu anakaahata vyama vyote vya upinzani mkiungana bado hamuwezi kuitoa ccm, the fact that hata lowasa hayupo na nyie tena ndo kabisa sidhan kama mna hali nzuri, magu anatekeleza wajibu wake tu wa kampeni lakini he is already above 80%
Muoneeni huruma huyu mtu jamani
Labda miungu hakuna Mungu anayependezwa na anayoyafanya Magufuli. Mungu anapenda haki sio hujuma unawahujumu wenzio halafu unashinda kwa % 99 hata Mungu sisi wanadamu hatumkubali kwa 99% sembuse magufuli.Anakwambia anamtegemea Mungu.
Kwahiyo watu waendelee kufa?wacha nkupe fact! hata mkiungana vyama vyote nchi nzima bado hamtaiweza ccm, the fact that ccm itatoka na 80%+ haimaanishi asifanye kampeni, so far vyote lissu alivoongea hakuna ata moja that makes sense! labda issue ya uhuru wa vyombo vya habari, ila outside that kila kitu ameongea ni pumba tu
Kuna muda niliikua siwaelewi watu wa system make huyu bwana ameharibu Sana nchiHicho kilio kinaelekezwa kwa invisible,Labda haoni mipango ya kuiba kura ikifanyika au amejaribu kutaka kuiba invisible/ wenye nchi wakamgomea
[emoji38][emoji38] tuache waendelee kufarakana... halafu wanajikaanga na mafuta yao wenyewe, ... Bashiru hofu imemjaa kiasi cha kuanza kutoa vitisho kwa viongozi wenzie ndani ya chama ... mara leo kamvaa Nape, kesho ana Kingwangala, mara anawachimba biti CCM mkoa wa Kagera ... Amma kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza!
[emoji28]
[emoji109] [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji95]
Ndo maana nawashangaa sana watu wanaomshabikia huyu mtuMAGUFULI hawezi kulingana na ma-Rais waliotangulia kwa kuwa ana tabia za kinyama. Wale waliotangulia pamoja na mapungu yao kadhaa lakini walikuwa na UBINADAMU kwenye mioyo yao.
Huwezi ukafukuza watu wa vyeti feki namna ile na kumuacha Makonda lazima una moyo wa SHETANI. Huwezi kabomoa nyumba za Kimara na ukaacha za Mwanza lazima uwe ni mfuasi wa LUCIFER. Huyu Magu ni Mrundi au Mnyarwanda, ndiyo wana mioyo ya namna hiyo.
Kumpa MAGUFULI miaka mwingine 5 ni ni kuleta umaskini Tanzania
Inasadikika hata Lowassa alimshinda Jiwe ila matokeo yakapinduliwa,hofu yake ni jinsi Watanzania walivyoitikia wito wa Mh.Lissu wa kulinda kura zao na kusema "Sasa Basi".Kama Mh.Lowassa alimgaragaza itakuwaje kwa Mh.Lissu mjenga hoja na mbeba maono wetu?Hajawahi kushindana akashinda
ππMzee anazidi kuchanganyikiwa siku baada ya siku, yaani jamaa hapendi ushindani kbc sijui wakati anasoma ilikuwaje.
Labda mungu wa chatoAnakwambia anamtegemea Mungu.