Uchaguzi 2020 Mgombea urais, Pombe Magufuli(CCM) anapokosoa kodi za TRA ya Rais Magufuli(CCM)

Uchaguzi 2020 Mgombea urais, Pombe Magufuli(CCM) anapokosoa kodi za TRA ya Rais Magufuli(CCM)

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
"Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli

20200929_205907.jpg
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
 
Hii tunaisema maji yamelowa na moto umeungua[emoji106][emoji106][emoji1787][emoji1787][emoji3577][emoji3577]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]
 
Back
Top Bottom