Uchaguzi 2020 Mgombea urais, Pombe Magufuli(CCM) anapokosoa kodi za TRA ya Rais Magufuli(CCM)

Uchaguzi 2020 Mgombea urais, Pombe Magufuli(CCM) anapokosoa kodi za TRA ya Rais Magufuli(CCM)

Magufuli amechanganyikiwa na amechelewa. Tatizo lake alidhani ana akili kuliko Watanzania wote kumbe ni mtu wa akili ya kawaida tu. Watu waliomzunguka hawako smart au ni wanafiki ndiyo maana siku zote alidhani anayoyafanya yanawanufaisha Watanzania. Kinyume chake Watanzania wanapitia kipindi kigumu kuliko hata kile cha wakoloni. Unapomzuia Mtanzaznia kuongea au kueleza maoni yake siyo kwamba tu unakwenda kinyume cha Katiba ya Tanznia bali unapoteza umuhimu wote wa Uhuru ambao akina Nyerere, Karume na wenzao waliupigania.

Watanzania wamekuwa maskini, wanauliwa kwenye nchi yao, wanatekwa, wanabambikiwa kesi. Yeye mwenyewe na watu wake wachache amekalia kuiba raslimali za taifa kupitia kandarasi za miradi ya ujenzi.

Amechelewa, Watanzamia wanamtaka TUNDU LISSU.
 
Hii ni sawa na kusema "Saa mbovu imepatia Majira"....Lissu Kanyaga kanyaga! Dizaini jiwe kama kachanganyikiwa hivi na haamini kinachoenda kutokea kuwa rais wa muhula mmoja.....Alidhani ataua tembo kwa ubua lakini waaaap....[emoji3][emoji3]
 
Mimi ni mwanaume siwezi kuwa faraghani na wanaume wenzangu. Hayo ni mambo ya Lissu!
Hakuna mwanaume kamili na rijali anayetaja taja majina ya wanaume wengine katika hoja isiyowahusu.
Huyo ni "mwanaume kama binti".
 
Leo kawadanganya watu wa njombe eti atanunua ndege zingine na moja itakuwa ya mizigo kwa ajili ya kubebea mapatachichi kupeleka ulaya kuuza
Hahahaha!! Jamaa mwongo!!!!
Hizi ndio tabia za madikteta huwa hawaogopi chochote hukumbuki bukoba na kila sehemu anavyowatisha watz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ila jamaa majanga nakumbuka hata uchaguzi 2015. Alidandia ile slogani ya Chadema M4C.
Baada ya kuona imebamba
 
IMG_7157.JPG
 
Back
Top Bottom