Hii inaitwa "tengeneza tatizo kisha litafutie ufumbuzi" kwako Jesse
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa "tengeneza tatizo kisha litafutie ufumbuzi" kwako Jesse
Amin nakuambia, huyo wakala wa mabeberu ni mshereheshaji tu wa "shughuli".Wameanza kuhubiri ya lisu walianza na vitambulisho vya machinga wakaamia bima ya afya sasa kodi
AMECHANGANYIKIWA"Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
View attachment 1584698
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
"Mbona hakushughulikia miaka 5 iliyopita?" aliuliza mzee mmoja alitevaa tshirt ya Chama Tawala."Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
View attachment 1584698
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
Magufuli Vs. JPM, mental case😀"Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
View attachment 1584884
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
Hii ni baada ya TL kusema hili eti anakuja kujishaua mbona mwaka juzi alikuja ziarani wakamuekeza akapuuza,ujue huyu bwana huwa ana kiburi na madharau."Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
View attachment 1584884
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
Huyu mzee aache kudanganya watu, Lisu alizungumzia kodi zilivyoua biashara ya miti huyu naye kapita humo humo bila kuchambua vizuri. Kwanza TRA hawatungi sheria za kodi, sheria hizi zilitungwa na Bunge linaloongozwa na Ndugai. Lisu alivyosema mfumo wa sheria za kodi wa Tanzania umekaa kinyang'anyi , watu walisema katumwa na mabeberu, sasa na hapa huyo ni beberu yupi kamtuma Magufuli kuwashukia TRA."Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
View attachment 1584884
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
Aliyeweka hizo tozo,kodi na ushuru ni Lissu!?Amin nakuambia, huyo wakala wa mabeberu ni mshereheshaji tu wa "shughuli".
Apimwe akili"Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
View attachment 1584884
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje
Huyu mzee aache kudanganya watu, Lisu alizungumzia kodi zilivyoua biashara ya miti huyu naye kapita humo humo bila kuchambua vizuri. Kwanza TRA hawatungi sheria za kodi, sheria hizi zilitungwa na Bunge linaloongozwa na Ndugai. Lisu alivyosema mfumo wa sheria za kodi wa Tanzania umekaa kinyang'anyi , watu walisema katumwa na mabeberu, sasa na hapa huyo ni beberu yupi kamtuma Magufuli kuwashukia TRA.
Leo kawadanganya watu wa njombe eti atanunua ndege zingine na moja itakuwa ya mizigo kwa ajili ya kubebea mapatachichi kupeleka ulaya kuuzaHii tunaisema maji yamelowa na moto umeungua[emoji106][emoji106][emoji1787][emoji1787][emoji3577][emoji3577]
Huyu si tunaambiwa ni rais,sasa anashindwa nini kutoa maelekezo. Ama hana namba ya kamishna mkuu wa TRA?"Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza tena kodi. Nawaahidi wana Njombe hili, nitalishughulikia" Dkt. Magufuli
Hii mwalimu Kashasha anaiitaje