sasa kwan ni uongo?Huku kwetu Bimkubwa anasema, vitu vinapanda bei kwasababu ya vita vya Urusi na Ukraine....
Nikweli mkuu, ndio maana hata mimi sijakulala mikia...😎sasa kwan ni uongo?
Wafaransa watamuelewa na atashinda.Vita ya kiuchumi kama ya Marekani na China ni vita ya kishamba na kihasidi.Mrusi naye ameona ikiwa ni hivyo basi naiwe kwani nami najua.Hiyo ndio akili mtu wangu, haiwezekani Wafaransa wapate shida kisa Ukrane.
Huyu Mama namwombea ashinde huu uchaguzi.
Ndio maana hatoshinda... Atashindwa kwa margin isiyo kubwa.Mgombea uraisi wa Ufaransa bi Marine Le Pen said amesema anaunga mkono vikwazo vyote vya kiuchumi kufuatia uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine isipokuwa nishati ya gesi.
Bi Le Pen katika siku za karibuni amepata umaarufu zaidi katika kampeni zake dhidi ya kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ,bw.Emmanuel Macron. Akifafanua kuhusu shutuma anazotupiwa kuhusu uhusiano wake na Urusi,amesema haoni sababu ya wananchi wa Ufaransa kuingia kwenye shida ya gesi kutokana na vita ya Ukraine wakati nishati hiyo inatumika majumbani na kwenye viwanda vingi vya uzalishaji.
View attachment 2184965
Le Pen hatoshinda uchaguzi. Atashindwa. Mark my reply.Wafaransa watamuelewa na atashinda.Vita ya kiuchumi kama ya Marekani na China ni vita ya kishamba na kihasidi.Mrusi naye ameona ikiwa ni hivyo basi naiwe kwani nami najua.
Ashinde njaaaHiyo ndio akili mtu wangu, haiwezekani Wafaransa wapate shida kisa Ukrane.
Huyu Mama namwombea ashinde huu uchaguzi.
Hapo Urais kwake baibai. Kwa muda kama huu huko Ulaya Magharibi unajinasibisha na Urusi halafu utegemee kushinda urais?Mgombea uraisi wa Ufaransa bi Marine Le Pen said amesema anaunga mkono vikwazo vyote vya kiuchumi kufuatia uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine isipokuwa nishati ya gesi.
Bi Le Pen katika siku za karibuni amepata umaarufu zaidi katika kampeni zake dhidi ya kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ,bw.Emmanuel Macron. Akifafanua kuhusu shutuma anazotupiwa kuhusu uhusiano wake na Urusi,amesema haoni sababu ya wananchi wa Ufaransa kuingia kwenye shida ya gesi kutokana na vita ya Ukraine wakati nishati hiyo inatumika majumbani na kwenye viwanda vingi vya uzalishaji.
View attachment 2184965
Ashinde ili mambo yakae sawa.Wafaransa watamuelewa na atashinda.Vita ya kiuchumi kama ya Marekani na China ni vita ya kishamba na kihasidi.Mrusi naye ameona ikiwa ni hivyo basi naiwe kwani nami najua.
Haya, we have marked it sirLe Pen hatoshinda uchaguzi. Atashindwa. Mark my reply.
Ameunga vikwazo ili USA na EU wasije wakamsnich lakini kiukweli kabisa anaelewa hata hao mabeberu wenyewe wanapata cha mtemakuni kiuchumi.Mgombea uraisi wa Ufaransa bi Marine Le Pen said amesema anaunga mkono vikwazo vyote vya kiuchumi kufuatia uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine isipokuwa nishati ya gesi.
Bi Le Pen katika siku za karibuni amepata umaarufu zaidi katika kampeni zake dhidi ya kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ,bw.Emmanuel Macron. Akifafanua kuhusu shutuma anazotupiwa kuhusu uhusiano wake na Urusi,amesema haoni sababu ya wananchi wa Ufaransa kuingia kwenye shida ya gesi kutokana na vita ya Ukraine wakati nishati hiyo inatumika majumbani na kwenye viwanda vingi vya uzalishaji.
View attachment 2184965
Hawezi kushindaHiyo ndio akili mtu wangu, haiwezekani Wafaransa wapate shida kisa Ukrane.
Huyu Mama namwombea ashinde huu uchaguzi.