Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio akili mtu wangu, haiwezekani Wafaransa wapate shida kisa Ukrane.
Huyu Mama namwombea ashinde huu uchaguzi.
Ndio uongo vitu vilianza kupanda bei kabla ya vita, tuwe wa kweli. Vita isiwe sababu.sasa kwan ni uongo?
kwa bahati mbaya hatoshndaHiyo ndio akili mtu wangu, haiwezekani Wafaransa wapate shida kisa Ukrane.
Huyu Mama namwombea ashinde huu uchaguzi.
Kwa Biden sawa hao wengine nonaona Russia anataka kuangusha viongozi watatu
1-macron
2-Boris
3-Biden
lets watch and see
KwelNdio uongo vitu vilianza kupanda bei kabla ya vita, tuwe wa kweli. Vita isiwe sababu.
Hasa mafuta ya kula
Uzuri marudio ya uchaguzi si mbali,Macron anarudi pale IkuluWafaransa watamuelewa na atashinda.Vita ya kiuchumi kama ya Marekani na China ni vita ya kishamba na kihasidi.Mrusi naye ameona ikiwa ni hivyo basi naiwe kwani nami najua.
Hili la kushindwa mbona li wazi,Macron anarudi IkuluAkishindwa basi watamkumbuka kwa hili la gesi.
Nadhani alishaona dalili za kushindwa ni kubwa,akaamua kujitoa muhanga,tangu siku ile atoe kauli ya akishinda ataitoa Ufaransa NATO,tayari nikajua huyu alishajikatia tamaa ya ushindi,kaamua tu bora liende akamilishe ratiba ya uchaguzi.Hapo Urais kwake baibai. Kwa muda kama huu huko Ulaya Magharibi unajinasibisha na Urusi halafu utegemee kushinda urais?
Sio kweli.Huku kwetu Bimkubwa anasema, vitu vinapanda bei kwasababu ya vita vya Urusi na Ukraine....
Unfortunately huyo kenge jike hawezi kushindaMgombea urais wa Ufaransa bi Marine Le Pen said amesema anaunga mkono vikwazo vyote vya kiuchumi kufuatia uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine isipokuwa nishati ya gesi.
Bi Le Pen katika siku za karibuni amepata umaarufu zaidi katika kampeni zake dhidi ya kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ,bw.Emmanuel Macron.
Akifafanua kuhusu shutuma anazotupiwa kuhusu uhusiano wake na Urusi,amesema haoni sababu ya wananchi wa Ufaransa kuingia kwenye shida ya gesi kutokana na vita ya Ukraine wakati nishati hiyo inatumika majumbani na kwenye viwanda vingi vya uzalishaji.
Ukishakuwa kibaraka wa Putin ndio kujitambua sio?Hungary ndo ina viongozi wanao jitambua wengine ni bendera fuata upepo kma German Hongera Sana mama kwa kuongea naked truth
Le Pen hatoshinda uchaguzi. Atashindwa. Mark my reply.
Wafaransa watamuelewa na atashinda.Vita ya kiuchumi kama ya Marekani na China ni vita ya kishamba na kihasidi.Mrusi naye ameona ikiwa ni hivyo basi naiwe kwani nami najua.