G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Wale walikuwa wanarusha matangazo au waliweka kijiwe cha kupiga umbea?Si mliwafukuza wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale walikuwa wanarusha matangazo au waliweka kijiwe cha kupiga umbea?Si mliwafukuza wenyewe
Si vipo vyama vingine zaidi ya Cdm ?!Nyie mliwafukuza sasa ulitakaje bwashee?
Wale walikuwa wanarusha matangazo au waliweka kijiwe cha kupiga umbea?
Nani mwingine anafanya siasa?Hivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?
Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido
Hivyo vingine bado havijaanza kampeni, Kule Lindi kwa ACT wazalendo wapo na Membe kila kona bwashee!Si vipo vyama vingine zaidi ya Cdm ?!
Hivi zile kamoeni mlizo fanya wenyewe miaka mitano hazikutosha??Muda huu mgombea wa urais wa JMT kupitia CCM Dr Magufuli anaendelea na kampeni mkoani Simiyu na tukio liko mubashara TBC na Channel ten karibu.
Up dates;
Dr Magufuli yuko uwanjani na sasa viongozi wa dini wanasoma dua katika mpangilio wao.
nyie ni watu wapuuzi sijawahi kuona mkiletewa tbc mnawafukuza mnataka wawapende vipi yaani mnafaa kufutwa kabisaHivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?
Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido
Zile zilikuwa za kiserikali lakini hizi ni za kichama bwashee!Hivi zile kamoeni mlizo fanya wenyewe miaka mitano hazikutosha??
Sio kupewa heshima,ajikite kuomba kura kama mgombea urais na si kama Rais ambaye ameshashinda!JPM bado ni Rais mtambue hilo , lazima apewe heshima yake kama Rais!..
Hahah kwa saundi hua yuko njema.Mzee ameshapagawa, nimemsikia anasema wametoa ajira 13,000/ za walimu. Tangu majuzi wakati sio kweli.
Naona anaongea kwa ukali kama anatufokea vile!Mzee ameshapagawa, nimemsikia anasema wametoa ajira 13,000/ za walimu. Tangu majuzi wakati sio kweli.
Unga na juisi zitaozea store tuko kwenye udikteta rasmiKwani chama cha upinzani ni kimoja?Mimi nauliza Azam tv,kwanini wanarusha matangazo ya JPM pekee?
Gambosh wenyewe walishamcbokaTunamchagua John Pombe Joseph Magufuli Marco, Nyanda wa Ng'Wana Musa.
Hadi Ngoma za kienyeji zinatumbuiza bureLeo fiesta ipo simiyu
Kaka yangu Freeman alifanya technical error siku ya ufunguzi wa kampeni za CDM.Sisi tuliwafukuza kwasababu hawakuwa na nia nzuri kwenye mkutano wetu. Yani Ryoba ameifanya TBC kuwa ya kipumbavu kuliko hata ilivyokuwa TvT. Hili jinga sijui liliibuliwa wapi!
Nyinyi simliwafukuza sasa wafanyeje.Hivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?
Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido
Ni Rais anayesuburi kuwapishwa .Kwa mtindo huu wa Magufuli kwenda kwenye mikutano kama Rais badala ya kwenda kama mgombea itamuangusha sana. Nimefuatitilia mikutano ya CCM inaboa sana ... yaani utafikiri ni zile zile hotuba za Kiserikali badala ya mikutano ya kampeni!!
Wakati Mbowe anafanya maamuzi ya kukurupu kuwafukuza TBC ninyi mlikua munafurahi sana. Sasa kwa taarifa yako TBC 1 na TBC taifa zote zinakua hewani kwenye mikutano. Hata ule mkutano wa act wazalendo ulikua live kwenye TBC taifa. Kule vijijini ndani ndani tuliusikia.Hivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?
Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido