Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli azindua Kampeni Maswa Mkoani Simiyu akielekea Bariadi

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli azindua Kampeni Maswa Mkoani Simiyu akielekea Bariadi

Uzi umedhoofu watu hawataki hata kujua anaongea nini
 
Amezungumzia Katiba Mpya? Hatutaki utawala wa mkono wa chuma tena.
 
Wakati Mbowe anafanya maamuzi ya kukurupu kuwafukuza TBC ninyi mlikua munafurahi sana. Sasa kwa taarifa yako TBC 1 na TBC taifa zote zinakua hewani kwenye mikutano. Hata ule mkutano wa act wazalendo ulikua live kwenye TBC taifa. Kule vijijini ndani ndani tuliusikia.
Ni bora unipe hamsini nzima kuliko mia mbovu. Tbc walicho kuwa wanakifanya kwenye kampeni za chadema ni unafiki tu
 
Hivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?

Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido
Si waliwatukana na kuwafukuza ili waedit nyomi
 
Mku kuna wasaniii wangapi??

CCM wanatumia nguvu kubwa sana kubeba wananchi kwenye Maroli
Kwa kuwahadaa kwa kofia na Tshirt.

Hakika hakuna lenye mwanzo likakosa kuwa na Mwisho.
Nyie mmekatazwa na nani kuwabeba watu kwenye macoaster?
 
Hivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?

Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido
Ryoba ni mpuuzi namba moja had tarehe ya leo hi .jinga Sana yaanii
 
Huyu ndiye bado Rais wa nchi yetu kutokana na matakwa ya katiba ya nchi. Kwa hiyo mapokezi yake yana mashinikizo na unafiki mwingi sana. Ni heri kuishi na watu wachache walio wakweli kwako kuliko kuishi na kuzungukwa na kundi kubwa la watu wanafiki.

Ukweli mtupu ni ya kwamba Mzee Baba anazungukwa na kundi la wanafiki wengino. Wengi wa watu wake wa karibu wapo team - Lissu na team - Membe. Time will tell.
 
Hivi unaenda kwenye kampeni unaagiza bendera zote za Chadema zishushwe , hivi inakusaidia nini ? Mimi huwa najiuliza hivi huyu mzima kweli?
 
Hivi TBC inatumia vigezo gani kurusha mkutano wa chama kimoja cha siasa kila siku?

Yani sikuwahi kufikiri kama Ryoba ni mpuuzi kiasi hicho! Kaachwa mbali sana na Tido
Mwenyekiti Faru John aliwafukuza pale Mbagala waliporusha live picha za drone na wanambagala walikuwa kiduchu, Faru John akachukia.
 
Back
Top Bottom