[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ADuuuh hongera yake ..lkn akumbuke wananchi wanamtazama kwa jicho la usaliti..aliudanganya umma kuwa chadema iliiua cuf kwa mwamvuli wa ukawa..Sasa tuone Kama utapata zaidi ya wabunge kumi waliopatikana kipindi Cha ukawa ...