CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
PROF. LIPUMBA AKAMILISHA ZOEZI LA KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA MIKOA 10.
Mgombea Urais wa Tanzania, kupitia CUF-chama cha wananchi amekamilisha zoezi la kutafuta wadhamini katika mikoa kumi.
Zoezi hilo la kujaza fomu za wadhamini limeshakamilika katika mikoa kumi