NCCR Mageuzi
Member
- Oct 3, 2007
- 23
- 63
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, anatarajia kuongea na wananchi wa Kigoma mjini hii leo Oktoba 01, 2020.
Rais Maganja atakua sambamba na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini ndugu Wiston Andrew Mogha ambaye anatajwa kuwa ndiye kipenzi cha watu wakigoma mjini.
Ikumbukwe siku ya Jana, Mgombea Urais ndugu Yeremia Kulwa Maganja alipita kwenye jimbo la Kigoma Kaskazini kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo ndugu Kitentya Luth.
Rais Maganja atakua sambamba na mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini ndugu Wiston Andrew Mogha ambaye anatajwa kuwa ndiye kipenzi cha watu wakigoma mjini.
Ikumbukwe siku ya Jana, Mgombea Urais ndugu Yeremia Kulwa Maganja alipita kwenye jimbo la Kigoma Kaskazini kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo ndugu Kitentya Luth.