LGE2024 Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke

LGE2024 Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
 
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
 

Attachments

  • FB_IMG_1728222456565.jpg
    FB_IMG_1728222456565.jpg
    24.6 KB · Views: 3
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
Cha ajabu ni nini, umemfunua fuvu la kichwa chake ukakuta kama ubongo umo.
 
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
That is a good technique ya kuombea kura,wagombea wote ni wanaume wapiga kura wengi ni wanawake
P
 
Hao wana mambo yao , ajakurupuka kusema hivyo🤔
Ushirikina ndio maana unaona mastaa wengi wa muzik ,wahubiri,watangazaji au uwe mpira akina Sijui mayele sijui wachezaji wa Arsenal, Manchester nk ,kuigiza nk hupenda kuwa na muonekano wa sura za kike wakati mwanaume ujue mchawi na Mwanga aliyekubuhu huyo

Huyo kujitambulisha mwanamke wakati mwanaume ni mchawi na mwanga huyo
 
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
Labda kazaliwa Kwa umbile unalomuona nalo, lakini kiundani au kisayansi zile XY zinawezakuwa asilimia kubwa za kike
 
Labda kazaliwa Kwa umbile unalomuona nalo, lakini kiundani au kisayansi zile XY zinawezakuwa asilimia kubwa za kike
Sio kweli mchawi huyo na mwanga makete mtu hawezi tamka kitu kama hicho
 
Ni baba wa mtu
N mume wa mtu
Kaka wa mtu
N mjomba wa mtu
 
Ni baba wa mtu
N mume wa mtu
Kaka wa mtu
N mjomba wa mtu
Mkewe ndio anajua kwa undani kama ni mwanamke au mwanaume na ni baba wa mtu

Siri anayo mkewe

Kama baada ya kunwambia yeye mwanamke akachepuka kuzaa na kaka yake,mdogo wake ,binamu nk kwa sharti la kuficha siri za ushirikina wake kuwa asije lala na mwanamke au kuzaa naye ili awake kisiasa, kibiashara nk

Mkewe ndie mwenye siri sio wanawe wala uliowataja
 
That is a good technique ya kuombea kura,wagombea wote ni wanaume wapiga kura wengi ni wanawake
P
Serious,, unajiita mwanamke mbele ya hadhara kisa tu unaomba kura. Familia yako inakuchukuliaje ? Siasa ndiyo ikufanye ukane maumbile yako!!!!!
 
Back
Top Bottom