LGE2024 Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke

LGE2024 Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Cha ajabu ni nini, umemfunua fuvu la kichwa chake ukakuta kama ubongo umo.

FB_IMG_1604027510826.jpg
 
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
Kuna clip ndefu, lasema anamuwakilisha binti yake. Sema wahuni wamekata na kuleta kipande wanachokitaka
 
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV

CCM ni miungu .Ndio maana walisema hawamtegemei Mwenyezi Mungu kushinda .

Huyo atakua ni mungu mwezi. Ana uwezo wa kujibadilisha kulingana na awamu.
Huu ni awamu ya mama wa ardhi ya Tanzania . Sasa ukiwa CCM inabidi usiwe na akili za kuwaza mwenyewe . Awamu ya mama ya mama wa kambo , CCM wote wako kimama mama wa kambo
 
Kuna clip ndefu, lasema anamuwakilisha binti yake. Sema wahuni wamekata na kuleta kipande wanachokitaka
Msikilize hapa:-
 
Labda ni
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
Labda ni shoga!!! Duuu
 
Hiki ni kihoja cha mwaka wakuu

Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) huko Makete amezua gumzo baada ya kudai kuwa yeye ni mwanamke, licha ya kuwa ni mwanaume. Tukio hilo limetokea wakati ambapo mgombea huyo alikuwa akinadi sera zake kwa nia ya kuvutia wapiga kura.
Video: EDMO TV
Mgombea wa aina hii hawezi kuwa na akili yoyote Ile ya maendeleo. Kuwe na utaratibu wa kucheki ubongo wa hawa wagombea
 
Back
Top Bottom