LGE2024 Mgombea wa Uenyekiti wa Kitongoji huko Makete ambaye ni mwanaume asema yeye ni mwanamke

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kuna clip ndefu, lasema anamuwakilisha binti yake. Sema wahuni wamekata na kuleta kipande wanachokitaka
 

CCM ni miungu .Ndio maana walisema hawamtegemei Mwenyezi Mungu kushinda .

Huyo atakua ni mungu mwezi. Ana uwezo wa kujibadilisha kulingana na awamu.
Huu ni awamu ya mama wa ardhi ya Tanzania . Sasa ukiwa CCM inabidi usiwe na akili za kuwaza mwenyewe . Awamu ya mama ya mama wa kambo , CCM wote wako kimama mama wa kambo
 
Kuna clip ndefu, lasema anamuwakilisha binti yake. Sema wahuni wamekata na kuleta kipande wanachokitaka
Msikilize hapa:-
Your browser is not able to display this video.
 
Labda ni
Labda ni shoga!!! Duuu
 
Mgombea wa aina hii hawezi kuwa na akili yoyote Ile ya maendeleo. Kuwe na utaratibu wa kucheki ubongo wa hawa wagombea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…