Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Magufuli anazindikiza tu. Chaguo la Mkulu ndio atayepitishwa, ukiangalia historia ya Asha utanielewa.
 
Pasco Wew ulizaliwa Mwafrica kimakosa! Siamin kama hzi tetesi ulisiskia kwa watu! na watu kama nyie sijui kwanin mpo wachache kiasi hiki!
 
Last edited by a moderator:
Pasco nimekukubali hoja zako mara zote huwa zina ukweli mtupu.Tunasubiri ripoti halisi maani hii ni ili ujiridhishe na uchosikia August 2014.Nyie ni watu muhimu nchini
 
Pasco , ina maana Rweyemamu akuandalie meza? Tetetete, kutesa kwa zamu, Bongo yetu.

Ukuje basi umalizie maana hii nimeletewa kwenye group la Whatsapp...... Hongera kwa utabili.

Ila nina wasiwasi kama utaziweka mapema hivi au utaziweka kabisa, labda ikifika mwaka 2021....
 
Last edited by a moderator:
Pasco Tunasubiri ubandike sababu tuone jinsi watu wanavyo decide jinsi ya kututawala maana hatuna free and fair elections their decisions is our destiny
 
Japo umeumizwa kwa kuanguka Lowasan huku ukiendelea kusononeka basi tushushie hizo sababu
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi, ambaye ni mtu wa kuaminika na ni kada wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi pia zimenihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha!, kuwa eti imeishaamuliwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha, ni the reasons behind alizonitajia ambazo ndizo zimepelekea CCM kuamua why ni lazima awe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi ni justifiable na nyingine sio tuu ni unjustifiable!, bali hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!. Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia from a single source, nahitaji kwanza kufanya collaborative verification na kupata attribution ili nijiridhishe kuwa ni za kweli na kuthibitisha kuwa hivyo ndivyo CCM inavyoweza kufikia maamuzi based on hayo niliyoyasikia!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za CCM on Why ni Magufuli!.

Kwa kawaida sisi waandishi, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye "the world of information age", nimeamua kuileta hii "news tip" humu jf, hivi hivi ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana JF, uipate ile advantage ya JF, "be the first to know!", hivyo nawaombeni tuu sasa mkae mkijua, "Mgombea wa CCM 2015 ni John Pombe Magufuli!"

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu ila sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za CCM!, na nyinyi pia zitawashtua, kuwahuzunisha, kuwasikitisha na kuwasononesha!. Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari inayoitwa "The Confidentiality of the source".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.

Sababu ya kuiwahisha humu JF kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana JF to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Pasco.


We Paskali Wacha fitina ushindani kati ya Magufuli na Slaa utakuwa mzuri sana kwa sababu yoyote atakayetinga Ikulu kati yao atasafisha ufisadi wa wezi waliokubuhu kuiba fedha za walipa kodi. Hapo CCM wamejifunga goli wao wenyewe bring them on. Wa-kwanza kwenda lupango not in alphabetical order Che-nkapa, EL, Mzee vijicenti, JK na kundi lake.
 
Last edited by a moderator:
Hii niliandika 18/8/2014.

Tumeisha waona wapole na wasikivu...wanavyoendesha nchi...tumejua faida zao na hasara zao...sasa tunataka tuwaone ambao ni wakali na si wasikivu linapokuja suala la kufuata sheria....kama hizo sheria wanazijua wao tu watafsri sheria (judiciary) na raia wengine zinawatatiza basi mfumo wa judiciary una matatizo makubwa...unahitaji kufumuliwa ili uweze kutuletea sheria upitia miswada ya sheria inyoeleweka kwa watu wote...maana sheria ni kwa ajili ya watu wote siyo wanasheria tu.

Apite Maghufuli.
Naona CCM wamefanyia kazi maoni yangu na wengine waliokuwa wanawaza kama mimi nilivyokuwa na waza.
 
Mkuu Pasco,

Hii habari hukuwahi kuja kuithibitisha, na hata hivyo imekuja kutokea kama ulivyoileta. Pia mkuu Mchambuzi, niliona alikuja na bandiko kama hili mwaka 2012!, nalo limetimia kama alivyotabiri..!!!

Sasa unaweza kutupa hizo sababu bila shaka kwasababu mtu aliyechaguliwa ni yuleyule kama ulivyotabiri. Bila shaka sababu hizo zilizingatiwa mpaka kupatikana kwa jina la Magufuli hii leo.

Hebu fanya kutujuza mkuu.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Update 12/07/2015
Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni, ukilisikia jambo, kama huliamini, then usiliseme wala kuliandika, hivyo hizo sababu nilisopewa siku hiyo, why Magufuli, siziamini, naomba nisiziseme hivyo chukulie kupitishwa kwa Magufuli kumetokea tuu natural, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwa tuu kama just a coincidence, nilisema ni Magufuli na akawa coincidentally.

Kwa mtakaonielewa asanteni, kwa msio nielewa samahanini sana!.

Hongera Magufuli!.

Pasco
 
Update 12/07/2015
Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni, ukilisikia jambo, kama huliamini, then usiliseme wala kuliandika, hivyo hizo sababu nilisopewa siku hiyo, why Magufuli, siziamini, naomba nisiziseme hivyo chukulie kupitishwa kwa Magufuli kumetokea tuu natural, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwa tuu kama just a coincidence, nilisema ni Magufuli na akawa coincidentally.

Kwa mtakaonielewa asanteni, kwa msio nielewa samahanini sana!.

Hongera Magufuli!.

Pasco

Pascoooooooooooooo...haya tumekuelewa!!
 
Mkuu Pasco unaweza kuwa karibu na ukweli halisi hasa ukizingatia harakati za Bwana Pombe mara kaja na daraja la Kigamboni kashalitembelea na kulikagua mara tatu,akaja na swaga nyingine bandari ya nchi kavu Ruvu nikajisemea tangu lini kawa waziri wa uchukuzi kabla hali ya hewa haijakaa sawa katembelea vivuko sijui vya wapi vile nikajisemea huyu si bure nikadhani sasa atatulia kumbe wapi kaja na barabara za juu sijui zinaitwa flyover kazitolea ufafanuzi kwamba foleni Dar itakuwa historia duh.

Mpaka hapo ndugu mwanaJF mwenzangu uhitaji kuambiwa na Pasco huyu ndio mgombea wa CCM hapana tumia akili yako kiduchu utagundua Pombe safari hii kaamua haswa haogopi magazeti ya Rostitamu wala mifedha ya Laigwanani wa Monduli jogoo awike asiwike lazima kutakucha tu.Nafasi ya Pombe safari hii ni wazi kwasababu pia Vasco Dagama asingependa Rais ajae atoke nje ya baraza lake la mawaziri ukitamza baraza lake sasa hakuna waziri anayemkaribia Pombe kwa vituko nasema vituko si kwa bahati mbaya la hasha Bwana Pombe ni waziri wa kukariri barabara na kilometa,ni waziri mropokaji kuliko mawaziri wote wa Vasco labda unaweza kumlinganisha na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM Bwana Makamba hana akili hajui aseme nini wapi na wakati gani kwa hakika Tanzania itakuwa na Rais wa hovyo kuliko marais wate tangu tupate uhuru.

I second you mkuu.
Unfortunately waTZ wengi wanakuwaga carried away na ulivyoviita vituko vyake. Yaani waTanganyika ni waDanganyika kabisa!

Labda apate msaada wa kisaikolojia katika kipindi hiki cha mpito!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom