Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Duh hii ilikuwa 15 August 2014 mkuu Pasco inafaa tujipongeze walau kiduchu kuna vitu vingine tunaandika ukija kivisoma tena unabaki unashangaa.


Mkuu Pasco unaweza kuwa karibu na ukweli halisi hasa ukizingatia harakati za Bwana Pombe mara kaja na daraja la Kigamboni kashalitembelea na kulikagua mara tatu,akaja na swaga nyingine bandari ya nchi kavu Ruvu nikajisemea tangu lini kawa waziri wa uchukuzi kabla hali ya hewa haijakaa sawa katembelea vivuko sijui vya wapi vile nikajisemea huyu si bure nikadhani sasa atatulia kumbe wapi kaja na barabara za juu sijui zinaitwa flyover kazitolea ufafanuzi kwamba foleni Dar itakuwa historia duh.

Mpaka hapo ndugu mwanaJF mwenzangu uhitaji kuambiwa na Pasco huyu ndio mgombea wa CCM hapana tumia akili yako kiduchu utagundua Pombe safari hii kaamua haswa haogopi magazeti ya Rostitamu wala mifedha ya Laigwanani wa Monduli jogoo awike asiwike lazima kutakucha tu.Nafasi ya Pombe safari hii ni wazi kwasababu pia Vasco Dagama asingependa Rais ajae atoke nje ya baraza lake la mawaziri ukitamza baraza lake sasa hakuna waziri anayemkaribia Pombe kwa vituko nasema vituko si kwa bahati mbaya la hasha Bwana Pombe ni waziri wa kukariri barabara na kilometa,ni waziri mropokaji kuliko mawaziri wote wa Vasco labda unaweza kumlinganisha na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM Bwana Makamba hana akili hajui aseme nini wapi na wakati gani kwa hakika Tanzania itakuwa na Rais wa hovyo kuliko marais wate tangu tupate uhuru.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco unaweza kuwa karibu na ukweli halisi hasa ukizingatia harakati za Bwana Pombe mara kaja na daraja la Kigamboni kashalitembelea na kulikagua mara tatu,akaja na swaga nyingine bandari ya nchi kavu Ruvu nikajisemea tangu lini kawa waziri wa uchukuzi kabla hali ya hewa haijakaa sawa katembelea vivuko sijui vya wapi vile nikajisemea huyu si bure nikadhani sasa atatulia kumbe wapi kaja na barabara za juu sijui zinaitwa flyover kazitolea ufafanuzi kwamba foleni Dar itakuwa historia duh.

Mpaka hapo ndugu mwanaJF mwenzangu uhitaji kuambiwa na Pasco huyu ndio mgombea wa CCM hapana tumia akili yako kiduchu utagundua Pombe safari hii kaamua haswa haogopi magazeti ya Rostitamu wala mifedha ya Laigwanani wa Monduli jogoo awike asiwike lazima kutakucha tu.Nafasi ya Pombe safari hii ni wazi kwasababu pia Vasco Dagama asingependa Rais ajae atoke nje ya baraza lake la mawaziri ukitamza baraza lake sasa hakuna waziri anayemkaribia Pombe kwa vituko nasema vituko si kwa bahati mbaya la hasha Bwana Pombe ni waziri wa kukariri barabara na kilometa,ni waziri mropokaji kuliko mawaziri wote wa Vasco labda unaweza kumlinganisha na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM Bwana Makamba hana akili hajui aseme nini wapi na wakati gani kwa hakika Tanzania itakuwa na Rais wa hovyo kuliko marais wate tangu tupate uhuru.
Mkuu Ngongo, hata pale nilipokuwa sikuelewi vizuri sasa nimekuelewa.
Wengi wanaanza kuandika juu ya huyu bwana baada ya kuona kapitishwa lakini mboni za macho yako ziliyaona haya out of nowhere!

 
ethics....mkuu nimekuelewa sana and big up...japo natamani utoe tip kidogo sababu ulizosikia kipindi kile kuwa ni Magufuli ni zipi...japo two reasons...ila dont mention source....PLZ mkuu...analysis....
 
Ni kweli mkuu Pasco kama hutojali tumwagie hizo sababu humu "anonymously" of the source. Then keep confidentiality of the source nadhani bado tutakuwa tupo kwenye ethics.
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli kama siyo huu mtandao unatekwa na makoloni kwa ukweli ni mtandao wenye kila sifa ya kuitwa mtandao wa Kijamii


Pasco upo Mkubwa????
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Update 12/07/2015
Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni, ukilisikia jambo, kama huliamini, then usiliseme wala kuliandika, hivyo hizo sababu nilisopewa siku hiyo, why Magufuli, siziamini, naomba nisiziseme hivyo chukulie kupitishwa kwa Magufuli kumetokea tuu natural, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwa tuu kama just a coincidence, nilisema ni Magufuli na akawa coincidentally.

Kwa mtakaonielewa asanteni, kwa msio nielewa samahanini sana!.

Hongera Magufuli!.

Pasco

Kweli hii ndiyo aina ya wapiga kuwa wetu wengi walivyo.
Pamoja na Mapenzi yako yote kwa Lowassa muda wote huo haukufanikisha kumtonya hiyo tetesi. basi hata wapambe aliokuwa nao yawezekana ni feki-yaani chukua chako Mapema.

 
..Magufuli ni mropokaji.

..hana kabisa breki ya mdomo.

..pia inaonekana hajatulia kimawazo, na Uraisi hauhitaji mtu wa namna hiyo.

Hapa tulipofika, hatuhitaji mtu mbabe kama Magufuli ili mambo yaende? Hatutaweza kujenga hili la Taifa kwa kuimba taarabu na bongo fleva, bila kufanya aina nyingine ya kazi ambazo tunasuasua kuzifanya.
 
Kweli jf kwenye ubora wake.....big up Pasco
 
Last edited by a moderator:
Hapa tulipofika, hatuhitaji mtu mbabe kama Magufuli ili mambo yaende? Hatutaweza kujenga hili la Taifa kwa kuimba taarabu na bongo fleva, bila kufanya aina nyingine ya kazi ambazo tunasuasua kuzifanya.

..tunahitaji raisi anayeweza kujenga taasisi mbalimbali na mfumo utakaowezesha nchi kusonga mbele.

..it is very dangerous kwa nchi kama tanzania kutegemea mtu mmoja badala ya mifumo ya kitaasisi.

..tatizo la magufuli ni kwamba yeye ni one-man-show. Hata pale anapotekeleza sheria anafanya kwa namna ya kukomoa au kikatili-katili.

..huyu ni mtu ambaye anatakiwa kuwa checked mara kwa mara. Naamini ni mtu hatari kupewa madaraka bila ya kuwa na mtu wa juu yake atakayemdhibiti.

..bongo fleva is not a bad thing. Too much of it ndiyo a bad thing. Mafanikio tuliyoyapata ktk bongo fleva tunatakiwa tuya replicate ktk science,engineering, technology, mathematics, and sports.

Cc Kishimbe wa Kishimbe, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
..tunahitaji raisi anayeweza kujenga taasisi mbalimbali na mfumo utakaowezesha nchi kusonga mbele.

..it is very dangerous kwa nchi kama tanzania kutegemea mtu mmoja badala ya mifumo ya kitaasisi.

..tatizo la magufuli ni kwamba yeye ni one-man-show. Hata pale anapotekeleza sheria anafanya kwa namna ya kukomoa au kikatili-katili.

..huyu ni mtu ambaye anatakiwa kuwa checked mara kwa mara. Naamini ni mtu hatari kupewa madaraka bila ya kuwa na mtu wa juu yake atakayemdhibiti.

..bongo fleva is not a bad thing. Too much of it ndiyo a bad thing. Mafanikio tuliyoyapata ktk bongo fleva tunatakiwa tuya replicate ktk science,engineering, technology, mathematics, and sports.
Ahsante mkuu
 
Duh nimekuogopa mkuu. Source zako zinatisha! Ndo maana jamaa alijiamini wala hakutaka kelele na mtu. Basi kuna bwana mkubwa kamuweka kwa maslahi yake binafsi, na amefanikiwa kuchezea akili za watu wote!!
 
..tunahitaji raisi anayeweza kujenga taasisi mbalimbali na mfumo utakaowezesha nchi kusonga mbele.

..it is very dangerous kwa nchi kama tanzania kutegemea mtu mmoja badala ya mifumo ya kitaasisi.

..tatizo la magufuli ni kwamba yeye ni one-man-show. Hata pale anapotekeleza sheria anafanya kwa namna ya kukomoa au kikatili-katili.

..huyu ni mtu ambaye anatakiwa kuwa checked mara kwa mara. Naamini ni mtu hatari kupewa madaraka bila ya kuwa na mtu wa juu yake atakayemdhibiti.

..bongo fleva is not a bad thing. Too much of it ndiyo a bad thing. Mafanikio tuliyoyapata ktk bongo fleva tunatakiwa tuya replicate ktk science,engineering, technology, mathematics, and sports.

Cc Kishimbe wa Kishimbe, Nguruvi3

Inawezekana kabisa. Tunahitaji taasisi na nafikiri hata yeye kuanzia sasa atatakiwa awe anafikiria kwa level hiyo...ila Kwa jinsi mambo yalivyokuwa yamepangwa,na wajanja walivyotaka yaende, heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Back
Top Bottom