Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Historia inaonyesha kuwa hakuna kiongozi yeyote aliyeko ndani ya CCM aliyejitoa mhanga kulitetea Taifa halafu akabaki salama.Mrema alishawahi kusurubiwa kwa sababu ya kuwatetea wananchi,Mwakyembe yalimpata ya kumpata,Magufuli mwenyewe alishakemewa kwenye mkutano wa hadhara alipojaribu kusimamia sheria ya ubomoaji wa majengo yaliyojengwa ndani ya hifadhi,Waryoba naye yuko kwenye kikaango cha moto wa CCM baada ya kuzisimamia hoja za wananchi.Hakuna kiongozi yeyote ambae ana weza akafanya mambo mazuri kwa asilimia zote wakati yuko ndani ya CCM.Kikwazo kikubwa cha mafanikio ya Tanzania ni CCM ambayo inatakiwa iondolewe kwa njia ya kura pamoja na wazuri wake wote na wabaya wake wote.
 
Mkuu Pasco.

Kujficha chini ya kivuli cha News tip ni kwenda kinyume naile unachoketea cha zama za Kiteknoljia kwa slogan ya JF kuwa "Be the First know, lakini kwa sababu ambazo unazfahamu mwenyewe umeipuza nyingine ya Where we Dare talk openly"

unachokifanya hakina tofauti na ambavyo mwandishi wa chombo kama Uhuru, Habari le n.k wanafanya katika zama hizi za Social Media. Kitendo ch kujicha kwenye kivuli cha "Verification" hakina maana hata kata kwa dhana yako ya be the first to know, kwani hinaa maana ya kuwa wa kwanza kupata News tip ilhali haukuwa na ulazima wa kutujulisha kam hujafanya hiyo Verification".

Lakini sishangai huu ndio uandishi wa Tanzania ambako mwadishi wake anasimama hadhrani kuwatangazia kwmba yeye sasa amepanda ngazi kutoka kuchukua kuchukua bahasha za kaki hadi, Mgawaji! kwanini tusifikiri kwamba hiini "Project" maalum ilyoandaliwa kwa malengo maalum. Bado tunakumbuka vyombo vya habari vilvyotumika kumwek madarakani.
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi, ambaye ni mtu wa kuaminika na ni kada wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi pia zimenihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha!, kuwa eti imeishaamuliwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha, ni the reasons behind alizonitajia ambazo ndizo zimepelekea CCM kuamua why ni lazima awe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi ni justifiable na nyingine sio tuu ni unjustifiable!, bali hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!. Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia from a single source, nahitaji kwanza kufanya collaborative verification na kupata attribution ili nijiridhishe kuwa ni za kweli na kuthibitisha kuwa hivyo ndivyo CCM inavyoweza kufikia maamuzi based on hayo niliyoyasikia!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za CCM on Why ni Magufuli!.

Kwa kawaida sisi waandishi, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye "the world of information age", nimeamua kuileta hii "news tip" humu jf, hivi hivi ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana jf, uipate ile advantage ya jf, "be the first to know!", hivyo nawaombeni tuu sasa mkae mkijua, "Mgombea wa CCM 2015 ni John Pombe Magufuli!"

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu ila sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za CCM!, na nyinyi pia zitawashtua, kuwahuzunisha, kuwasikitisha na kuwasononesha!. Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari inayoitwa "The Confidentiality of the source".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.
Sababu ya kuiwahisha humu jf kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana jf to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Pasco.

Binafsi ningefurahi sana haya yatokee japo nina hofu kubwa moja, mfumo ndani ya CCM umejikita katika mizizi ambayo hata kama tungepata Rais toka mbinguni asingeweza, nadhani tufikirie nje ya CCM tu, nani alitegemea Samuel Sitta angetubadilikia hivi???
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi, ambaye ni mtu wa kuaminika na ni kada wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi pia zimenihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha!, kuwa eti imeishaamuliwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha, ni the reasons behind alizonitajia ambazo ndizo zimepelekea CCM kuamua why ni lazima awe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi ni justifiable na nyingine sio tuu ni unjustifiable!, bali hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!. Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia from a single source, nahitaji kwanza kufanya collaborative verification na kupata attribution ili nijiridhishe kuwa ni za kweli na kuthibitisha kuwa hivyo ndivyo CCM inavyoweza kufikia maamuzi based on hayo niliyoyasikia!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za CCM on Why ni Magufuli!.

Kwa kawaida sisi waandishi, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye "the world of information age", nimeamua kuileta hii "news tip" humu jf, hivi hivi ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana jf, uipate ile advantage ya jf, "be the first to know!", hivyo nawaombeni tuu sasa mkae mkijua, "Mgombea wa CCM 2015 ni John Pombe Magufuli!"

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu ila sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za CCM!, na nyinyi pia zitawashtua, kuwahuzunisha, kuwasikitisha na kuwasononesha!. Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari inayoitwa "The Confidentiality of the source".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.
Sababu ya kuiwahisha humu jf kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana jf to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Pasco.
Rais ajae ni Wassira....
watu wa nje ya chama ndo hawajui,
refer to ndio mtu alieongoza kwa kura Kwenye CC,
jamaa ana ushawishi mkubwa sana ktk CCM Ili jina lake lipite,jamaa noma,watu tu hawajui....
 
Mbunge wangu uyu maana 2010 nilimpigia kura na ananiongozo, kiukweli uongozi wa jamaa hata hapa jimboni kwake kwa sasa yupo fair, jamaa amekuwa na utu wa kupitiliza,

Kiukweli watu wake anawajali sana kama anavyojali barabara za maeneo yenu zitengenezwe

Anapenda maendeleo ya kila mfanyakazi wa halmashauri yake, kwa sasa ameshauri kila mfanyakazi kwa kutumia mshahara wake ahakikishe anajenga nyumba ya kisasa na kununua gari kwa kutumia mikopo ya nmb bank maana aliongea na manager wa nmb kila mfanyakazi anayekiz vigezo hasinyimwe fulusa ya kukopa,

Chato ameigeuza kama masaki katika utawala wake n.b kama mbunge wako kashindwa basi husilaum magufuri

Kwasasa umeme unapelekwa kila kijiji n.b hapa n ushawishi wa kila mbunge

Haingilii utendaji wa halmashauri kama wabunge wengine mamlaka yote yapo kwa DED

Mpaka kata za wapinzani kajenga barabara na anapeleka umeme, feza za jimbo anazigawa equally kwa madiwani wote awe ccm au chadema

Ameamua kufufua chama cha ushirika cha kusindika pamba kilichokufa kabla hajawa mbunge

Barabara za chato mjini zote anaweka mabaki ya lami inayobakia kwa wakandarasi may b anawaomba wamsaidie kuileta katika jimbo lake, nyumbani n nyumbani

Ni mbunge ambae kajenga kwao na mara nyingi yupo kwao kwa mapunziko tofauti na wabunge wengine wanaoishi ukimbizini a.k.a dsm

Hata kama yeye aliuza nyumba za serikali kumbuka yeye hakuwa mtu wa mwisho kuamua, alikuwepo waziri mkuu na rais wenye maamzi juu yake. Na alikuwa anatekeleza ilani ya chama. Kwaiyo hapo ilaumiwe ccm nzima na baraza la mawaziri na siyo magufuri pekee,

Hata kama ana mapungufu, ya magufuru n ya kibinadamu maana yeye c malaika, pia ukilinganisha yeye na wengine wa ccm, yeye n afadhari mara 10000.

Kutoka moyoni, pia nadekrea interest magufuri ni mbunge wangu na amefanya wonders katka jimbo lake, na kufikia january asilimia 60 ya watu wa chato watakuwa wanakunywa maji safi na salama, namuunga mkono magufuri for presidential candidate 2015

NB kutokuwa na maendeleo jimboni kwako n uzembe na umbumbu wa mbunge wako

Mungu ibariki Tanganyika Mungu mbariki rais mtarajiwa Mh Magufuri mbunge wetu wa ukweli.

2020 upande wako tena mkubwa JPM
 
Tuvute subira Muda ndio utakao sema! Tumeumba wengi mno kwa Maneno.
 
Pasco muulize huyo mtoa taarifa wako walikuwa wanajadili nini huko songea kwao na aliyekuwa naibu katibu mkuu John ndunguru walipokuwa wameenda kuhan msiba wa marehem mama yake John ndunguru...kikao walichofanya pale kilikuwa na madhumuni gani na sehem ya msiba ikawa ndio sehem ya kuwakutanisha mameneja karibu wote tanroad nchini ....pia muulize nini hasa kilifanya huyo bwana nduguru aondolewe kwenye wadhifa alfajiri siku moja baada ya makatibu na manaibu katibu wakuu wapya kutangazwa alikuwa keshaoga tayari kuelekea kazin mara akapokea taarifa ya kuondolewa katika nafasi hiyo.... akikujibu pia muulize swali la nyongeza mtoa taarifa wako nini huyo magufuli aliambiwa akiwa pamoja na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani bwana nchimbi...waliambiwa nini na wale wazee 12 wa taifa hili...
 
Last edited by a moderator:
Kilichokusikitisha na kukukasirisha ni nafasi yako ya Salva pale magogoni uliyoaidiwa na mzee wa Nyamachoma
 
Kwa Nchi Hii UKIFUATILIA SANA SIASA ZA NDANI YA CCM Ni Kujipa Presha Za Kujitakia Tu. Bora Ukatafute Tu Ugali Wa Watoto Wako Uangalie Na Kesho Utamkaje.
 
Nina wasi wasi wewe c raia wa Tanzania aisee. Huwez kutuharibia lugha namna hii.

Wewe ndio hujui lugha au upeo wako wa kuelewa mdogo sana. yale maneno kayaweka makusudi kwenye mabano kufikisha ujumbe fulani.
 
Pasco kimsingi m nakukubali kwa hoja zako,bt nkipita kwenye maandishi yako leo napata taab kuamin kuwa kusudi lako n kupata view za watu au kujua uungwaji mkono wa makufuri? Iwapo unajua kuwa No research na light 2 say,

Y umekuja na tetesi unataka kuondoa jina la makufuli mawazon mwa wanachama wa ccm ili ijulikane kuwa siri ilivuja hvyo hastahili.

Ki msingi cna uhakika na kile ulichokisema,
Ila napata taabu kuamin kile ulichokisema.
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi, ambaye ni mtu wa kuaminika na ni kada wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi pia zimenihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha!, kuwa eti imeishaamuliwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha, ni the reasons behind alizonitajia ambazo ndizo zimepelekea CCM kuamua why ni lazima awe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi ni justifiable na nyingine sio tuu ni unjustifiable!, bali hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!. Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia from a single source, nahitaji kwanza kufanya collaborative verification na kupata attribution ili nijiridhishe kuwa ni za kweli na kuthibitisha kuwa hivyo ndivyo CCM inavyoweza kufikia maamuzi based on hayo niliyoyasikia!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za CCM on Why ni Magufuli!.

Kwa kawaida sisi waandishi, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye "the world of information age", nimeamua kuileta hii "news tip" humu jf, hivi hivi ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana jf, uipate ile advantage ya jf, "be the first to know!", hivyo nawaombeni tuu sasa mkae mkijua, "Mgombea wa CCM 2015 ni John Pombe Magufuli!"

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu ila sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za CCM!, na nyinyi pia zitawashtua, kuwahuzunisha, kuwasikitisha na kuwasononesha!. Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari inayoitwa "The Confidentiality of the source".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.
Sababu ya kuiwahisha humu jf kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana jf to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Pasco.

wazanzibar watakubali maana ni zamu ya mzanzibar kwa upande wa ccm
 
Hata wakimchagua Wassira sio mbaya.
Kumchagua nguruwe awe rais ndani ya kundi la wanyama pori hakumfanyi nguruwe awe tofauti na wanayma pori wenzake.
Mule mule tu.
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi, ambaye ni mtu wa kuaminika na ni kada wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi pia zimenihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha!, kuwa eti imeishaamuliwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunihuzunisha, kunisikitisha na kunisononesha, ni the reasons behind alizonitajia ambazo ndizo zimepelekea CCM kuamua why ni lazima awe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi ni justifiable na nyingine sio tuu ni unjustifiable!, bali hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!. Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia from a single source, nahitaji kwanza kufanya collaborative verification na kupata attribution ili nijiridhishe kuwa ni za kweli na kuthibitisha kuwa hivyo ndivyo CCM inavyoweza kufikia maamuzi based on hayo niliyoyasikia!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za CCM on Why ni Magufuli!.

Kwa kawaida sisi waandishi, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye "the world of information age", nimeamua kuileta hii "news tip" humu jf, hivi hivi ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana jf, uipate ile advantage ya jf, "be the first to know!", hivyo nawaombeni tuu sasa mkae mkijua, "Mgombea wa CCM 2015 ni John Pombe Magufuli!"

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu ila sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za CCM!, na nyinyi pia zitawashtua, kuwahuzunisha, kuwasikitisha na kuwasononesha!. Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari inayoitwa "The Confidentiality of the source".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.
Sababu ya kuiwahisha humu jf kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana jf to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Pasco.

We ni time Monduli ndo maana unalalamika, Magufuli akigombea nitamsapoti sisiem hakuna mwingine anayeweza kuongea akaogopwa japo kidogo na kudisplini watu zaidi ya magufuli ila wafanyabishara hawatakubali.
 
Back
Top Bottom