Mgomo Kariakoo: Wafanyabiashara wakutana Mnazi Mmoja

Mgomo Kariakoo: Wafanyabiashara wakutana Mnazi Mmoja

Hakuna kitu sipendi, kama serikali kuendeshwa na hawa overgrown babies! Hapa, pamoja na yote niliyokuwa siyakubali, nilimpongeza sana marehemu jpm
 
Tunataka Watanzania wanaojielewa kama hawa wafanyabiashara wa Kariakoo
.
20230430_093851.jpg
 
Tamisemi
Viwanda na Biashara
Naibu Spika
Waziri wa Ndani
GS CCM
TRA
RC
DC
RPC
 
Sijawahi kuajiriwa toka nizaliwe biashara ndiyo kazi yangu ya asili nimezaliwa na mfanyabiashara na mimi nafanya biashara kwa kiwango changu,usijifanye unanijua sana.
Hufanyi, ungekuwa wafanya lazima ungejua mabaya yanayotokea
 
Mikoa imewakilishwa na Viongozi wa wafanyabishara
 
Mambo ya kutishana hayapaswi kuwepo, watu wakae waelewane. Kila mtu apate
 
Mliooko Dar Vp Kuna Mkutano Kweli Na Kassim Ama Aje Mama Mwenyewe
Kuokoa Jahazi Hilo La Kodi Ya Dhulma Kwa Wafanyabiashara
 
Watu wameambiwa wasogee karibu, Askari wameambiwa waachie watu wasogee
 
Hufanyi, ungekuwa wafanya lazima ungejua mabaya yanayotokea
Sibishani na mpuuzi asiye na hoja mtu ambaye ameweka nadharia nyingi kichwani kwake ambazo hazimsaidii kazi yake ni kulazimisha kile anachokiamini yeye ndio sahihi.
 
Kwa heshima, ukubwa na umuhimu wa soko la kimataifa Kariakoo, nimeona si sawa kuwaanika juani kiasi hiki wafanyabiashara wa soko hilo. Serikali ingeweza kuratibu kikao hiki kifanyike pale JNICC. Wafanyabiashara wamedharaulika sana nchi hii.
 
Maana serikali Ina vitu vitatu.
Polisi
Mahakama
Magereza.
Ukivikumbuka hivi vitu vitatu, mwenyewe unarudi kwenye mstari.
Huo ni ushamba wa kishamba mfanyabiashara kuogopa vitu hivyo hata unapoonewa
 
Naona wafanyabiashara wameanza kutoa ya moyoni, na umeme ukakatika aisee hii Tanzania ni hatari
 
Hivi kiini cha huu mgogoro haswa ni kipi?
 
Back
Top Bottom