Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wafanyabiashara wa kkoo ndio Tanzania yenyewe safi sana mmeonyesha kuwa hilo ndio Jiji na linakaliwa na Watu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Massawe kawauza wenzake kwa bei nafuuHuyo mwenyekiti kama alichaguliwa na wafanyabishara basi hawezi kuchaguliwa tena
Bogazi kama nyie ndio mnafanya nchii hii iliwe na watu wachacheMaana serikali Ina vitu vitatu.
Polisi
Mahakama
Magereza.
Ukivikumbuka hivi vitu vitatu, mwenyewe unarudi kwenye mstari.
Kunaweza kukawa na kiongozi ambaye ana-engineer kisirisiri mgomo huu kwa ajili ya kumkomoa Mama. Haya mambo siku hizi nayaelewa sana kuliko zamaniBaada ya kutangaza kugoma kufungua maduka yao wiki iliyopita, hatimaye Kariakoo ikasimama.
Mkuu wa Mkoa akaenda, akashindwa wafanyabiashara wakamtaka Rais, Ripoti ikatoka kutoka Dodoma kuwa Mkutano utafanyika Dodoma siku ya Alhamis, chini ya Waziri Mkuu, wafanyabiashara wakagoma.
Likatoka tamko kuwa Jumatano watakutana Ofisi ya Waziri Mkuu, wakagoma Waziri Mkuu akaenda Kariakoo, akaongea nao ila hawakuelewana. Jumanne mgomo ukaendelea kama kawaida.
Polisi wakapewa majina ya watu kuwa ndo wanaoshinikiza, watu hao wakaitwa Msimbazi kutoa maelezo.
Leo mkutano ukawa ufanyika kati ya Viongozi wa Wafanyabiashara na Serikali Anatouglu, wafanyabiashara wakaugomea kwamba hawaamini viongozi wao wanataka wao wenyewe watoe maoni yao.
Pametokea mvutano ila mwisho Serikali imekubali kupeleka Kikao cha Wazi Mnazi Mmoja. Wafanyabiashara wameonesha umoja na wameweza.
Kamwe msikubali maoni yenu yapelekwe kifichoni na watu wachache.
Mama akiendelea kumkumbatia Mwigulu atavuna mabua.Kunaweza kukawa na kiongozi ambaye ana-engineer kisirisiri mgomo huu kwa ajili ya kumkomoa Mama. Haya mambo siku hizi nayaelewa sana kuliko zamani
Mwigulu hana shida; kuna shida mahali pengineMama akiendelea kumkumbatia Mwigulu atavuna mabua.
...Wanao !...Labda Wawe Waoga TU !.... [emoji35]Hata hivyo waelewe tu hawana ubavu wa kuipangia serikali ifanye wanavyotaka.
Sawa....Wanao !...Labda Wawe Waoga TU !.... [emoji35]