Mgomo Kariakoo: Wafanyabiashara wakutana Mnazi Mmoja

Wafanyabiashara wa kkoo ndio Tanzania yenyewe safi sana mmeonyesha kuwa hilo ndio Jiji na linakaliwa na Watu...
 
Nimempenda mama bonge muuza vipodozi hadi waziri mkuu amecheka naona kampa namba,

Yule alosema Gulio la China lisiwepo sababu Soko la Kariakoo litakufa na watoto wao kukosa biashara miaka ijayo, mwambieni Biashara ushindani
 
Maana serikali Ina vitu vitatu.
Polisi
Mahakama
Magereza.
Ukivikumbuka hivi vitu vitatu, mwenyewe unarudi kwenye mstari.
Bogazi kama nyie ndio mnafanya nchii hii iliwe na watu wachache
 
Kunaweza kukawa na kiongozi ambaye ana-engineer kisirisiri mgomo huu kwa ajili ya kumkomoa Mama. Haya mambo siku hizi nayaelewa sana kuliko zamani
 
Kunaweza kukawa na kiongozi ambaye ana-engineer kisirisiri mgomo huu kwa ajili ya kumkomoa Mama. Haya mambo siku hizi nayaelewa sana kuliko zamani
Mama akiendelea kumkumbatia Mwigulu atavuna mabua.
 
Pongezi kubwa sana kwa wafanyabiashara kariakoo kwa kumkataa waziri wa fedha hadharani..
 
Ewaaaah mambo yote hadharani, sio mara oooh viongozi wenu watawawakilisha… wakalambishwe asali.
 
Mgomo unaashiria KUWEPO ajenda lakini nyuma ya ajenda hiyo pia ipo ajenda, tusubiri tutaona ninini hiyo ajenda iliyo nyuma ya ajenda ya mgomo ni suala la wakati tu. Na mgomo huo si bure bali ni ghali na gharama yake lazima ilipwe. Na wakuilipa gharama kwa vyovyote lazima apatikane na alipe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…