Mgomo Ruaha Catholic University

Mgomo Ruaha Catholic University

Msikariri kuwa maandamano ndio suluhisho.
Field wasema mnaanza tar 12
sasa maandamano ya nini tarehe hizi?
Huku Mwenge Catholic university sijawahi sikia huu ujinga wa maandamano maana yameprove failure kwenye vyuo vingi.
Tumetulia tu field tunaanza tarehe 9 febr, hela ya field tumepewa juzi.
Achaneni na inshu za maandamano zitawagharimu.

ww unasema ivo kwa sababu umepata pesa,, ss sisi hata hatujasain,, na tumeshamaliza mitihani,, yaan tuendelee kukaa chuo et tukisubir kusain,, ujinga kama huu hatukubali
 
ww unasema ivo kwa sababu umepata pesa,, ss sisi hata hatujasain,, na tumeshamaliza mitihani,, yaan tuendelee kukaa chuo et tukisubir kusain,, ujinga kama huu hatukubali

Pesa za field sio lazima msaini acha mchecheto first year.
 
Kila kitu kinaendeshwa na Main Campus (Mwanza) hata baada ya kujitegemea, Mf. Nani awe mkuu wa chuo na sehemu ya mishahara ya wafanyakazi. Wakiandamana watafukuzwa wote au waitie polisi wapigwe. Mkuu wa chuo alisha sema eti bodi ya mikopo si babao yao (Baba wa wanafunzi).

Hakuna Migomo Catholic Universities, kama wewe ni mmoja wao kaa mbali. Bodi itakudai ukiwa Mkulima!!!

Hapana kwa sasa hakiendeshwi Mwanza, angalia hata organisation structure yake imebadilika. Dr. Mgimwa ambaye alikuwa principal, kwa sasa ni Vice Chancellor.

[h=2]RUCU Principal Officers[/h]
[TABLE="width: 700"]
[TR]
[TD]
Mgimwa.png
[/TD]
[TD]Rev. Dr. Cephas Mgimwa
Vice Chancellor (VC)[/TD]
[TD]
Mpangala.png
[/TD]
[TD]Prof. Gaudens P.Mpangala
Deputy Vice Chancellor Academic Affairs: (DVCAA)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
dutto.png

[/TD]
[TD]Rev. Fr. Angelo Dutto
Deputy Vice Chancellor Finance and Administration: (DVCFA)[/TD]
[TD]
Fr_Kevin_Haule.JPG

[/TD]
[TD]Rev. Fr. Kevin Haule
Assistant to the Deputy Vice Chancellor Finance and Administration[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Kitinya.png

[/TD]
[TD]Dr. Sylivano C. N. Kitinya
Dean Faculty of ICT[/TD]
[TD]
Mmuni.png

[/TD]
[TD]Mr. Carl A. Mmuni
Associate Dean, Faculty of ICT, Acting Director of Post Graduate Studies, Research, Consultancy and Publications[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
empty.png

[/TD]
[TD]Dr. Lilian Mongella
Ag. Dean Faculty of Law[/TD]
[TD]
empty.png

[/TD]
[TD]Judge (Rtd.) Raymond J. Mwaikasu
Associate Dean, Faculty of Law[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kila kitu kinaendeshwa na Main Campus (Mwanza) hata baada ya kujitegemea, Mf. Nani awe mkuu wa chuo na sehemu ya mishahara ya wafanyakazi. Wakiandamana watafukuzwa wote au waitie polisi wapigwe. Mkuu wa chuo alisha sema eti bodi ya mikopo si babao yao (Baba wa wanafunzi).

Hakuna Migomo Catholic Universities, kama wewe ni mmoja wao kaa mbali. Bodi itakudai ukiwa Mkulima!!!

Si kweli kwamba kila kitu kinaendeshwa na main campus Mwanza. It is a fully fledged University with its Chancellor hata kama ni wale wale but it is no longer under St. Augustine. So wana mamlaka nyingine nje na St. Augustine inayofanya maamuzi.
 
chuo kingekua hakihusu Afisa wa bodi ya mikopo aliyepo kila chuo ana kazi gani?na wazir wa mikopo kila chuo kutoka serikal ya wanafunzi bc nae ni wa nn,,, tunajua chuo hakitoi pesa,, ila chuo kina wajibu wa kuhakikisha wanafunzi wake wanapata pesa kwa wakati

mnabahati fr kitima hayupo siku hizi.. uwepo wa hao watu ni kama msaada wa chuo ila sio wajibu wao kuhakikisha mnapata mkopo.
kwani joining instruction inasemaje?
 
chuo kingekua hakihusu Afisa wa bodi ya mikopo aliyepo kila chuo ana kazi gani?na wazir wa mikopo kila chuo kutoka serikal ya wanafunzi bc nae ni wa nn,,, tunajua chuo hakitoi pesa,, ila chuo kina wajibu wa kuhakikisha wanafunzi wake wanapata pesa kwa wakati

Acheni ubushi wadogo zangu. Uvumilivu ndo silaha kubwa.
 
hapo hakuna ushirikiano kati yenu na viongozi wenu pamoja na bodi.. suala la kuchelewesha majina bodi ndio inahusika hahusiki afisa wala waziri wenu wanaohusika wapo huko bodi ya mikopo... kumlaumu afisa, principal, waziri wa mikopo n.k hakutosaidia mtumeni waziri wenu aende bodi kueleza tatizo.. mtaandamana mfukuzwe chuo iwe majanga ++
ni kwamba umepanik ndugu.. kazi ya afisa ni kurahisha taratibu za mikopo chuoni kwenu mfano asingekuwepo mngesainia wapi.?? na hayo majina mngeyapataje.? pia jiulize wakati unaomba mkopo kulikua na afisa?? waziri wa mikopo au chuo..?? unganeni fanyeni masuala ya msingi tafuteni utaratibu wa kwenda bodi ya mikopo...

Umenena vema mkuu. wafate ushauri wako mkuu.
 
Kila kitu kinaendeshwa na Main Campus (Mwanza) hata baada ya kujitegemea, Mf. Nani awe mkuu wa chuo na sehemu ya mishahara ya wafanyakazi. Wakiandamana watafukuzwa wote au waitie polisi wapigwe. Mkuu wa chuo alisha sema eti bodi ya mikopo si babao yao (Baba wa wanafunzi).

Hakuna Migomo Catholic Universities, kama wewe ni mmoja wao kaa mbali. Bodi itakudai ukiwa Mkulima!!!

Waambie Kaka.
 
Sio RUCO ni RUCU. mkuu

usipende kuwa mbishi kama teja...hivi hicho chuo umekijua jana au leo hii?
F.Y.I kilikuwa kikiitwa "RUAHA UNIVERSITY COLLEGE- (RUCO),
kipo mkoani Iringa oposite na sheri ya mafuta ya sasa au ilipokuwa CRDB zamani, karibu na ukumbi wa mokosa (makosa cats) ya zamani nearby maktaba ya mkoa wa Iringa. Pia waweza kuingilia kule mbele karibu ya benki ya NMB na majengo ya RETCO . Kwa kasakazini imepaka na shule ya msingi wilolesi. Pia chuo hicho kina tumia yaliyokuwa majengo ya DR.Amon Nsekela (R.I.P).
I am standing to be corrected if i have said something wrong......
 
Ni haki yenu kisheria kuandamana,lakini mfuate sheria,Mh.Pinda kachoka maandamano kila siku.Mtapigwa tu.
Nawashauri mkae mezani na wakubwa mmalize swala lenu kiutuuzima.Hata sisi tunaitarajia kuja vyuo vikuu kupata elimu ya juu tusikatishwe tamaa na migomo na matokeo ya migomo
 
usipende kuwa mbishi kama teja...hivi hicho chuo umekijua jana au leo hii?
F.Y.I kilikuwa kikiitwa "RUAHA UNIVERSITY COLLEGE- (RUCO),
kipo mkoani Iringa oposite na sheri ya mafuta ya sasa au ilipokuwa CRDB zamani, karibu na ukumbi wa mokosa (makosa cats) ya zamani nearby maktaba ya mkoa wa Iringa. Pia waweza kuingilia kule mbele karibu ya benki ya NMB na majengo ya RETCO . Kwa kasakazini imepaka na shule ya msingi wilolesi. Pia chuo hicho kina tumia yaliyokuwa majengo ya DR.Amon Nsekela (R.I.P).
I am standing to be corrected if i have said something wrong......

mkuu ww ndio mbishi ss,, mimi nasoma hapa mwaka wa pili,, chuo hiki kinaitwa ruaha Catholic university,, lkn hapo nyuma kiliitwa ruaha university college , ss hivi ni chuo kinachojitegemea hakipo tena chin ya SAUT
 
usipende kuwa mbishi kama teja...hivi hicho chuo umekijua jana au leo hii?
F.Y.I kilikuwa kikiitwa "RUAHA UNIVERSITY COLLEGE- (RUCO),
kipo mkoani Iringa oposite na sheri ya mafuta ya sasa au ilipokuwa CRDB zamani, karibu na ukumbi wa mokosa (makosa cats) ya zamani nearby maktaba ya mkoa wa Iringa. Pia waweza kuingilia kule mbele karibu ya benki ya NMB na majengo ya RETCO . Kwa kasakazini imepaka na shule ya msingi wilolesi. Pia chuo hicho kina tumia yaliyokuwa majengo ya DR.Amon Nsekela (R.I.P).
I am standing to be corrected if i have said something wrong......

Acha upumbavu mi sio teja. Nimekurekebisha kwamba sio RUCO ni RUCU ww unakomaa kunipa location. Napajua sana . Nakurekebisha tena sio RUCO ni RUCU. Ruco ilikuwa zamani..
 
Acha upumbavu mi sio teja. Nimekurekebisha kwamba sio RUCO ni RUCU ww unakomaa kunipa location. Napajua sana . Nakurekebisha tena sio RUCO ni RUCU. Ruco ilikuwa zamani..

acha kushupaaa mkuu, utaKe usitake chuo hicho kilikuwa kinaitwa RUCO ila kwa hivi karibuni kimebdilishwa na kuitwa RUCU a.k.a LUKU.

mkuu ww ndio mbishi ss,, mimi nasoma hapa mwaka wa pili,, chuo hiki kinaitwa ruaha Catholic university,, lkn hapo nyuma kiliitwa ruaha university college , ss hivi ni chuo kinachojitegemea hakipo tena chin ya SAUT
unacho kisema ni kweli mkuu hilo jina ni la hivi karibuni tu (sijui hata kama lina zid miaka 3 toka lianze kutumika)....ila mimi nilikuwa nina muweka sawa ndezi mjamaa kuwa akipata chungu kipya asitupe kile cha zamani, pia anajifanya kusahau ingawa ukweli anaujua.
 
we jamaa ndio four kabisa,, utapate pesa bila kusain,, na kwa taarifa yako mi sio first year

Wewe huna unawaza kugoma tu unafiki Waromani wanabembeleza mtu na kama hujui kitu piga kimya kuliko kujifanya unajua kumbe hujui pesa ya field unawekewa hata ukiwa hujasaini ukirudi toka field ndo unasaini.
 
Back
Top Bottom