kapikita
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 131
- 74
- Thread starter
- #41
Wewe huna unawaza kugoma tu unafiki Waromani wanabembeleza mtu na kama hujui kitu piga kimya kuliko kujifanya unajua kumbe hujui pesa ya field unawekewa hata ukiwa hujasaini ukirudi toka field ndo unasaini.
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, siwez argue na ww,, eti unaingiziwa pesa then unasain ukirud.