Jerick06
Member
- May 2, 2014
- 51
- 15
Serikali ya wanafunzi DIT kushinikiza uongozi wa chuo kufutilia mbali swala la wenzao kutokufanya mitihani ya kumaliza mwaka wa masomo.
Hii imetokana na wanafunzi takribani 620 kutoruhusiwa kufanya mitihani iyo. Kesho tarehe 2 june katika viwanja vyaa michezo DIT saa moja asubuhi kutakuwa na mgomo huo wa amani. Je swala la kufungiwa wanafuzi kwasiokamilisha ada ni sawa?
Hii imetokana na wanafunzi takribani 620 kutoruhusiwa kufanya mitihani iyo. Kesho tarehe 2 june katika viwanja vyaa michezo DIT saa moja asubuhi kutakuwa na mgomo huo wa amani. Je swala la kufungiwa wanafuzi kwasiokamilisha ada ni sawa?