Mgomo wa wafanya biashara ni wa kipuuzi kuwahi kutokea! Wao inawahusu nini mlaji akipandishiwa bei bidhaa? Wao ni wapeleka kodi tu anayelipa ni mlaji

Mgomo wa wafanya biashara ni wa kipuuzi kuwahi kutokea! Wao inawahusu nini mlaji akipandishiwa bei bidhaa? Wao ni wapeleka kodi tu anayelipa ni mlaji

Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!

Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!

Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi

Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake

Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe

Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!

Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa

Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Kuna wakati ukikaa kimya unaonekana tu ni mwenye hekima
Unajua kwamba wafanyabiashara ndio hao hao walaji
Au akili zako zinakutuma kuelewa kwamba mwenyeduka anauza Kila kitu na akitaka bidhaa yake anachukua tu ?
 
Kuna wakati ukikaa kimya unaonekana tu ni mwenye hekima
Unajua kwamba wafanyabiashara ndio hao hao walaji
Au akili zako zinakutuma kuelewa kwamba mwenyeduka anauza Kila kitu na akitaka bidhaa yake anachukua tu ?
Asante mkuu kwa mawazo mjarabu, ila ukituliza akili, utakubaliana nami kwamba, jaziba zilimpasa mlaji kuandamana
 
Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!

Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!

Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi

Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake

Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe

Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!

Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa

Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Elimu ya madrasa ilikufikisha hapo, yaani mjinga wewe unashindwa kuelewa bei ikiwa kubwa manunuzi yanapungua. TRA inapotoza kodi kubwa wao wanapandisha bei ya bidhaa kufidia tofauti ya faida hivyo manunuzi yanashuka.
 
Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!

Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!

Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi

Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake

Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe

Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!

Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa

Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Biashara ni ushindani wa bei na ubora wa bidhaa. Ndo maana tigo akishusha bei ya bundle kesho yake airtel naye anashusha bei ya bundle.

Mlaji anafuata chenye bei rahisi.

Na ili pawe na ushindani ulio fair lazima other factor ziwe constact kwa wote.

Sasa kuna mtu anaingiza kontena anakadiriwa kodi ya kulipia, anapata kaunafuu, mwingine anaingiza kontena la product zinazofanana…. analipia ushuru halali.

Wakikutana sokoni hata wakamrundikia kodi zote mteja, bado product zao hazitakuwa na bei sawa…

Je ni wapi wakalalamike?
 
Wengine sijui wanatumia sehemu gani ya mwili kufikiri?
Ni wazi mleta Uzi hatumii akili kama apaswavyo na inavyotegemewa kwa binaadam yeyote aliezaliwa na mwanamke.
 
Wengine sijui wanatumia sehemu gani ya mwili kufikiri?
Ni wazi mleta Uzi hatumii akili kama apaswavyo na inavyotegemewa kwa binaadam yeyote aliezaliwa na mwanamke.
Unahoja, ila hujabainisha ukaeleweka
 
Umesoma sababu za hao wafanyabiashara kugoma na ukazielewa??

Wafanyabiashara sio walaji?? Au wao hupewa ruzuku na serikali kama vyama vya siasa ili biashara zao ziende vyema??
Kwamba kuna fungu serikali inalitoa kwa ajiri ya hawa mawakala wake wa kukusanya kodi kwa raia wake??

Jaribu kuwaza tena, hoja yako ni mfu kabisa haiendani na sababu za wafanyabiashara kugoma.
 
Mfanyabiashara analalamikia kodi kubwa zisizoendana na mapato ya biashara, Kazi ya Serikali kupitia wizara ya fedha ni kuleta muswada bungeni utakaoshughulikia maslahi ya wafanyabiashara.

Imagine bei ya vitu kwenye nchi ya Uganda inakuwaje juu kuliko Tanzania ilhali hawana Bandari?
 
Bei zikipandishwa mauzo yanashuka huku Kodi za fremu, service levy,bima nk zipo pale pale achilia mbali marejesho ya mikopo ya Benki.
Huyo jamaa sidhani kama ana ufahamu wowote wa biashara.
Haelewi kwamba mlaji akishindwa kununua ndio mwanzo wa anguko la biashara husika.
 
Ungekuwa unafanya biashara, naamini usingekuja na hii mada yako.
Huyo.mleta mada atakuwa Mfanyakazi wa serikali halafu waweza kuta na ijinga wake kuandika yeye ndie serikali wanamtegemea kuwa huyo ndie ana akili wa kuwashauri

Hopeless kabisa

Serikalini kumejaa wapumbavu wengi sana Hadi unajiuliza hivi hizo.nafasi walipataje
 
Ungekuwa ni mfanyabiashara, naamini usingeandika hiki ulichokiandika hapa.
Wafanyabiashara wana kero nyingi zinazohitaji ufumbuzi.
Kuna kipindi nawaza kwamba mtoa uzi naye ni mzazi na anaweza pia kuwa na wajukuu mbaya zaidi awe ndiyo kichwa cha familia.

Kama mawazo ya vizazi vyetu ni haya (kama mtoa uzi) basi tunasafari ndefu sana.
 
Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!

Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!

Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi

Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake

Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe

Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!

Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa

Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Hao wafanyabiashara ni wajinga na mimi nashangaa kwa nini serikali inaangalia nao.ningekuwa mimi raisi ningeenda kupiga makofi ya serikali ili waende wakafanye biashara Burundi.
 
Asante mkuu kwa mawazo mjarabu, ila ukituliza akili, utakubaliana nami kwamba, jaziba zilimpasa mlaji kuandamana
Nadhani hujielewi
Wafanyabiashara ni walaji kama hujui .Hizo bodhaa hawazalisho madukani mwao huzinunua viwandani na kuagiza nje .Ukipandisha Kodi maana yake Wao unawapunguzia uwezo wa kununua hizo bidhaa savabu mwenye kiwanda au mwagizaji nje hizo Kodi atamsukumia mfanyabiashara wa nani ambaye kwake yeye ndie customer wake wa mwisho Sababu yeye hauzi rejareja

Pia yeye akiuza Bei kubwa purchasing power ya mteja Iko chini hawezi nunua

Tanzania maskini ndio maana huwezi ona bidhaa za marekani au ulaya Kila Kona Tanzania ni ghali mfanyabiashara akileta soko hamna

Sasa TRA wanachofanya wanataka kujua biashara kuwa wafanyabiashara wapandishe Bei ili.wakose wateja biashara zife

Ndio maana wafanyabiashara wanagoma wanajua Kodi kubwa zonaua biashara zao na zinapunguza uwezo wa biashara zao kukua mtaji haungezeki sambamba na Kodi zinazoongezeka Kila siku

Unapoongelea mlaji mfanyabiashara pia ni mlaji na mtumia bidhaa za wengine pia hivyo naye mwathirika
 
Hao wafanyabiashara ni wajinga na mimi nashangaa kwa nini serikali inaangalia nao.ningekuwa mimi raisi ningeenda kupiga makofi ya serikali ili waende wakafanye biashara Burundi.
Utoto huo.umeniandika.ukikua utajua
 
Nadhani hujielewi
Wafanyabiashara ni walaji kama hujui .Hizo bodhaa hawazalisho madukani mwao huzinunua viwandani na kuagiza nje .Ukipandisha Kodi maana yake Wao unawapunguzia uwezo wa kununua hizo bidhaa savabu mwenye kiwanda au mwagizaji nje hizo Kodi atamsukumia mfanyabiashara wa nani ambaye kwake yeye ndie customer wake wa mwisho Sababu yeye hauzi rejareja

Pia yeye akiuza Bei kubwa purchasing power ya mteja Iko chini hawezi nunua

Tanzania maskini ndio maana huwezi ona bidhaa za marekani au ulaya Kila Kona Tanzania ni ghali mfanyabiashara akileta soko hamna

Sasa TRA wanachofanya wanataka kujua biashara kuwa wafanyabiashara wapandishe Bei ili.wakose wateja biashara zife

Ndio maana wafanyabiashara wanagoma wanajua Kodi kubwa zonaua biashara zao na zinapunguza uwezo wa biashara zao kukua mtaji haungezeki sambamba na Kodi zinazoongezeka Kila siku

Unapoongelea mlaji mfanyabiashara pia ni mlaji na mtumia bidhaa za wengine pia hivyo naye mwathirika
Si kweli ungea kikodi zaidi.mlaji wa mwisho ndio anayebeba mzigo wa kodi na mfanyabiashara ni wakala tu wa hizo kodi sasa inakuwaje kwamba inapunguza uwezo wa mfanyabiashara kununua?hiyo ni principle gani ya kodi?
 
Hao wafanyabiashara ni wajinga na mimi nashangaa kwa nini serikali inaangalia nao.ningekuwa mimi raisi ningeenda kupiga makofi ya serikali ili waende wakafanye biashara Burundi.
Ccm hamna akili halafu wakali
 
Back
Top Bottom