Mfanyabiashara akienda kununua bidhaa zake duka la jumla au kiwandani anapewa Bure hailipi kodi ya VAT?Si kweli ungea kikodi zaidi.mlaji wa mwisho ndio anayebeba mzigo wa kodi na mfanyabiashara ni wakala tu wa hizo kodi sasa inakuwaje kwamba inapunguza uwezo wa mfanyabiashara kununua?hiyo ni principle gani ya kodi?
Unafirw*Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!
Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!
Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi
Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake
Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe
Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!
Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa
Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Mfanyabiashara anapokuwa katika biashara yake.Mauzo yakishuka maana yake kuna mtu hataweza kula, kuvaa, kujenga na kushindwa kabisa kujikimu kimaisha, na hapo ndipo kutakapotokea hasira za wananchi kudai haki zao
Wao wafanyabishara inawahusu nini maumivu ya walaji?
wewe sio mfanyabiashara wala sio mteja wao.Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!
Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!
Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi
Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake
Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe
Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!
Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa
Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
HojaHuna akili! Kwenye nchi ambayo aina mifumo ya kuaminika ya kiutawala wafanyabiashara wasipochukua hatua unafilisika asubuhi tu!
Wewe unaleta mzigo kwa kufata taratibu zote! Mwenzako yeye anatumia ubovu wa mifumo anaingiza mizigo sokoni kimagendo anauza bidhaa kwa bei ya chini! Unafikili kinachofata kwa wazalendo wanaopitisha mizigo ki halali ni nini?! Kipindi cha JK wafanyabiashara kama gsm walikuwa wanapitisha mizigo kimagumashi na wanauza bei ya chini utashindana nao sokoni?!
Kuna watu wawekezaji wanapewa tax holiday ya miaka 5! Harafu hao hao wanaingiza bidhaa sokoni kwa soko la reja reja hutashindana nao?!
Mimi nalipa pango na kodi halafu mtu mwingine anaweka biashara kibarazani kwangu ana bidhaa kama yangu yeye halipi pango wala kodi zozote! Utashindana nae sokoni?! Tatizo hujawahi kufanya biashara ila unatoa maoni kuhusu biashara! Maoni yako yangekuwa na maana kwenye nchi zilizo serious sio uku kuliko jaa rushwa na ufisadi na mifumo iliyo palalalaizi.
Sasa kàma nyie walaji mmelala kwanini msisaidiwe?? NyambafuNaweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!
Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!
Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi
Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake
Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe
Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!
Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodsasa kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa
Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Kwa akili za aina hii kama Taifa, hakika tuna safari ndefu kweli kweli.Hao wafanyabiashara ni wajinga na mimi nashangaa kwa nini serikali inaangalia nao.ningekuwa mimi raisi ningeenda kupiga makofi ya serikali ili waende wakafanye biashara Burundi.
Uko sahihi sana ndugu Nsanzagee, kwamba walichopaswa kufanya wafanyabiashara ni kuongeza tu bei ya bidhaa na huduma zao Ili mlaji wa mwisho (mwananchi) ndiye aumie kisawasawa ili kama akitambua kuwa anaumia ndiyo sasa achukue hatua dhidi ya watunga sera na serikali yao kwa kuansamana na kugoma kama wanavyofanya Kenya sasa.Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!
Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!
Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi
Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake
Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe
Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!
Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa
Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Huyo mlaji ana uwezo wa kulipa hiyo kodi? Serikali si. Ilishindwa kukusanya hizo kodi za kichwa ambazo sasa zimerudi kama Vat?Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!
Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!
Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi
Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake
Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe
Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao!
Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa
Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Kenya wanachofanya unawaunga mkono jinsi wanavyopora maduka ya watu na Hadi vyakula vya mama nitilieUko sahihi sana ndugu Nsanzagee, kwamba walichopaswa kufanya wafanyabiashara ni kuongeza tu bei ya bidhaa na huduma zao Ili mlaji wa mwisho (mwananchi) ndiye aumie kisawasawa ili kama akitambua kuwa anaumia ndiyo sasa achukue hatua dhidi ya watunga sera na serikali yao kwa kuansamana na kugoma kama wanavyofanya Kenya sasa.
Wakiendelea utasikia Kuna siku serikali Haina pesa za kulipa mishahara ya wanajeshi Sababu ya Kodi kupunguaWaliogoma haswa ni importers yaani wale ma tycoon, kuna wachuuzi na ma tycoon, kuna waliofungua jana na leo lakini wakienda kuchukua mizigo wahusika wamegoma,Huna jinsi hapo itabidi ufunge,
Mkuu OKW BOBAN SUNZU kutoa maoni haijawahi kuwa ni kosa la jinaiHuyu ni kula kulala au anaishi kwa shemeji hajui kitu