Mgomo wa wafanya biashara ni wa kipuuzi kuwahi kutokea! Wao inawahusu nini mlaji akipandishiwa bei bidhaa? Wao ni wapeleka kodi tu anayelipa ni mlaji

Mgomo wa wafanya biashara ni wa kipuuzi kuwahi kutokea! Wao inawahusu nini mlaji akipandishiwa bei bidhaa? Wao ni wapeleka kodi tu anayelipa ni mlaji

Umeandika ujinga sana iwakuwa hujawahi kufanya biashara wala kilipa kodi
Wenye ujinga uliopitiliza wanapita kapa bila kuelewa, wenye uangalau wanapata walau moja moja lenye maana kwao
 
Pia mauzo yakishuka na Kodi itakuwa ndogo mishahara mikubwa wanayolipana TRA na wabunge yaweza shuka pia
Kwani hao uliwataja wana akili na huruma hiyo?
Watanipa nje waongezeane malipo makubwa.
 
Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara!

Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa Kariakoo!

Kwa kawaida, mfanyabiashara huwa halipi kodi! Kwa sababu, asipouza hawezi kudaiwa kodi

Anapouza ndio hulazimika kulipa kodi, maana yake, anayekuja kununua ndiye anayelipa kodi zote, na mfanyabiashara kazi yake ni kupeleka kodi iliyotokana na njaa ya mlaji, kazi ya mfanyabishara, hufanya hesabu kabla ya kuanza kuuza bidhaa zake ili apate ya kodi ya pango, TRA, na gharama zoote ili abakiwe na faida yake

Nadhani hesabu zinawavuruga hawa wafanyabiashara, badala ya kukaa, kisha kuona ni kwanamna ipi itawalazimu kuongeza bei kwenye kila bidhaa ili wao wabaki na faida zao na maumivu ya kodi hizo anabaki nazo mlaji wao wanaweka mgomo, huo mgomo hauwahusu hata chembe

Huo mgomo iliwapasa watumia bidhaa (Walaji) ndiyo waandamane na ama kugomaa kula ili iwe sawa siyo kwa mfanyabishara kugoma, huo ni upuuzi na kuchelewesha wajinga kupata akili, wananchi wakionja joto ya jiwe ndo wataamua wao kugoma na ama wavumilie maumivu ya sera mbovu za viongozi wao mafisadi wa CCM

Nikimuuliza mfanya biashara anachogomea ni kipi, hana jibu kulingana na kwamba, yeye ni wakili tu wa serikali kuwasilisha kodi kwauaminifu kutoka kwa watumiaji bidhaa

Fungueni maduka na mpandishe bidhaa ili kama yupo wa kuandamana, aandamane mwananchi mtumiaji bidhaa
Nimepata kuandika comments kwamba mlipaji mkuu wa Kodi ni mlaji wa mwisho ambaye akinunua kitu yeye anakwenda kukitumia tu 🙄😳

Tena huyo mlaji huwa analipa na faida ya ile bidhaa aliyonunua. 😅

Labda sasa nitaeleweka 😳🤙🤙😂
 
Back
Top Bottom