Mgomo wa wenye maduka uko Mbagala Rangitatu Dar es Salaam.

Mgomo wa wenye maduka uko Mbagala Rangitatu Dar es Salaam.

Siwaiungi mkono,sukari ilipotea kidogo kurudi wakatupandishia Bei,waliona sawa.
Wacha ile waendelee na mgomo mwezi mzima,leseni ziko palepale watalipa na Kodi nyingine
 
Back
Top Bottom