nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Imesaidia kuonyesha upuuzi wa serikali kwa wananchi. Serikali inapoteza mapato makubwa. Wafanyabiashara / wananchi wamedhihirisha wana nguvu kuliko serikali waliokosea kuipa nchi. Machine za EFD ni njama ya kuiba fedha kwa wananchi ili iende kwa Chama Cha Mapinduzi.