Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli ndugu yangu kwani tayari kunamgawanyiko kwa kila kundi kuangalia maslai yake na hakuna sapoti yoyote.IFAHAMU UDOM KIUNDANI. wakati chuo cha sayansi ya jamii leo wanagoma/tayari chuo cha mawasiliano kimefungwa kutokana na mgomo uliopita..wakati huohuo chuo cha elimu wao wanapata tetesi tu kuwa wenzao wanagoma na hawana habari kuwa kuna chuo kimefungwa/..wakati huo tena chuo cha uuguzi wao wapo rikizo na sidhani kama wanahabari hizi.Hii kifupi inaitwa devide and rule.KIKUBWA TUWAOMBE VIJANA HAWA KWANI HITAJI LAO LINA MAANA KTK MAISHA YAO.God will protect u
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!
Kama una jamaa anaesoma Udom-College ya Social Science muulize atakwambia Lema alikuwepo mida ya Saa 6 usiku alikuwepo CafteriaThibitisha haya madai yako kwa kuituwekea picha au sauti ya huyo Lema akihamasisha!!embu acheni kushirikisha matatizo ya wanafunzi na siasa
Kama una jamaa anaesoma Udom-College ya Social Science muulize atakwambia Lema alikuwepo mida ya Saa 6 usiku alikuwepo Cafteria
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!
Mimi naamini Lema anauwezo mdogo sana kufikiri na pengine hana agenda comprehensive inayoonyesha tuko wapi na tunakwenda wapi kama taifa. Hii ni hatari sana
Kama una jamaa anaesoma Udom-College ya Social Science muulize atakwambia Lema alikuwepo mida ya Saa 6 usiku alikuwepo Cafteria