Mgomo wanukia UDOM wa kutokuwa na field

Mgomo wanukia UDOM wa kutokuwa na field

Napingana na john marwa aliposema kuwa godbless lema alikuwa udom kuhamasisha maandamano sio kweli na hiyo inalenga kuingiza siasa katika elimu kitu ambacho ni kibaya sana,jana chadema walikuwa ukumbi wa polisi jamii na wanafunzi wakutoka vyuo vyote hapa dodoma mjini system kamwe haiwezi kumruhusu mwanasiasa hasa wq chama cha upinzani kam chadema afanye uhamasishaji wakati utulivu ulishapotea toka ijumaa. Kiini cha mgomo ni wanasiasa na mawaziri wa wili shamsi vuai nahodha waziri wa mambo ya ndani na shukuru kawambwa waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi,hawa mgomo wa mara ya mwisho ulihusiana na mambo hayohayo ya mafunzo kwa vitendo walikuja hapa kwa ndege ya kukodi ya serikali kusululisha mgogoro huu lakini njia iliyotumika kutatua mgogoro huu haukuzingatia taratibu za kisheria isipokuwa siasa ndiyo iliyotumika,management ya chuo ilipuuzwa na wanafunzi wakaambiwa "practical training ni haki yenu,wizara ya elimu inafungu la dharula mtakwenda wote field hata kwa degree zile ambazo hazikuwa na practical training" ikumbukwe kuwa kuna utaratibu wa kuboresha degree programme kila zinapoonekana kuleta shida na katika kulifanikisha hilo kunakuwa na kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya idara,skuli,chuo mpaka senete chombo cha juu ktk kufanya maamuzi yanayohusiaana na taaluma,katika hili nahodha na kawambwa walikurupuka kutoa ahadi bila kuzingatia taratibu za kuborsha course content kutoka tcu zinasemaje,matokeo yake wanataka kufanya kitu ambacho huwezi kukifanya kwa miezi mitatu kiwe kimekwisha na ubora ukawa guaranteed,ni ukweli usiopingia migogoro yote hii inachangiwa na wanasiasa kuingilia taratibu za kielimu,haingiii akilini mwanafunzi anasoma degree public adm,project mgt,acc,bba n.k asiwe na mafunzo ya vitendo najiuliza waliopewa consultancy ya kuandaa mitaala hiyo walikuwa wanakusudia nini? Lakini najaribu kuiangalia serikali inalenga kuwa na wnafunzi 40,000 kwa muda mfupi sana bila kuguarantee quality ya products au inataka kuwafanyia hawa wanafunzi wa udom majaribio ya kuwa inawezekana kusoma bila mafunzo? Ili baadae practical zifutwe vyuo vyote? Mgogoro huu wanaotakiwa kuumaliza ni kawambwa na nahodha waende wakawambie tena practical ni haki yenu lakini serikali saizi haina hela mpaka majaliwa,na kwa nini wanasiasa hwataki kuichia udom ikajiamlia kufanya mambo yake yanayohusiana na taaluma badala ya kutoa maelezo yasiozingatia maelezo ya kikanuni za taaluma,baadala ya kuangalia wanafunzi wanaonyesha nini angani tunaangalia kidole anachotumia kuonyesha ni ujinga,serkali kukurupuka kufanya mambo zaidi ya wanafunzi 7000 wanatakiwa kwenda field hamkubajeti mkawakikishia fedha ipo leo mnasema haipo,wapeni wanachotaka.
 
tuna tatizo la kimazingira dodoma nadhani mnajua ugonjwa wa macho nadhani ndo mkoa ambao unaaongoza tanzania yawezekana hata mtoa mada amekwisha athirika na ugonjwa huo mnamshauri awaone wataalamu wa macho wamsaidie.......sijui ni short sighted au long...............labda nimuulize ulimwona kwa mbali au karibu?????????????/
 
I am in love with CDM whether you like it or not, and there is nothing, absolutely nothing you can do about it. :violin:
 
Mazishi Arusha yalikuwa juzi jana Lema alikuwa UDOM na move hii imepewa baraka zote Dr Wilbroad Peter Slaa na CHADEMA. Kitu amabacho hatuna uhakika nacho iwapo zile pesa alizozitoa ili ikanunuliwe pombe na BANGI kwa ajili ya makamanda imetoka mfukoni mwake au wachama.
 
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!

Godbless Lema tulikuwa naye hapa Arusha hadi saa 11 jioni unataka kusema alifika Dodoma saa ngapi? Sipati picha eti mkutano unafanyika saa 5 usiku na kuondoka saa 9. Hivi jamani hii kweli inaingia akilini kwa wewe uliyeileta hii shutuma dhidi ya Kamanda Lema
 
Mazishi Arusha yalikuwa juzi jana Lema alikuwa UDOM na move hii imepewa baraka zote Dr Wilbroad Peter Slaa na CHADEMA. Kitu amabacho hatuna uhakika nacho iwapo zile pesa alizozitoa ili ikanunuliwe pombe na BANGI kwa ajili ya makamanda imetoka mfukoni mwake au wachama.
zimetoka mfukoni kwako
 
Mazishi Arusha yalikuwa juzi jana Lema alikuwa UDOM na move hii imepewa baraka zote Dr Wilbroad Peter Slaa na CHADEMA. Kitu amabacho hatuna uhakika nacho iwapo zile pesa alizozitoa ili ikanunuliwe pombe na BANGI kwa ajili ya makamanda imetoka mfukoni mwake au wachama.


Lema alikuwa kwenye mazishi ya Mbogo hapa Arusha jana Jumapili tarehe 12/6/2011 mpaka saa 10 jioni sasa hii ya kwamba alikuwa UDOM usiku imetoka wapi ninyi? Mimi nilimwona Lema na nilihudhuria mazishi
 
Joste uwezo wa lema ni mkubwa sana kwa sababu anawezo wa kusimamia kile ambacho yeye anakiamimni ni sahihi ambacho kwa chama tawala kunzia raisi mpaka watendaji wake hakuna mwenye uwezo huo zaidi ya kujikomba tu,mbona nape alikwenda udom tena akatoa na maagizo kwenye uongozi wa chuo,who is nape?mpaka atoe maagizo kwenye uongozi wa chuo?anaweza kwenda mlimani akatoa maagizo kwa mkandala? Tatizo la udom serikali inataka ipate sifa bila kutimiza wajibu wake,utakuwaje baba wakati hutimizi wajibu wakuwa baba?mnampa lema umarufu halima mdee na tundu lissu jana ndio waliokuwepo ukumbi wa polisi jamii kutoa vyeti kwa wanachama wao waadilifu kama alivyofanya nape miezi miwili iliyopita alipokuja kutoa vyeti kwa wanachama wa ccm.
 
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!
Lete ushahidi maana hizo ni tuhuma nzito,
 
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!

UKOME KUDANGANYA WANA JF mwongo MKUBWA WEWE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! MOD HUYU ANASTAHILI KUPIGWA STOP. Anadanganya mchana kweupe. Lema hakuwa Dodoma Jana alikuwa Arusha. wewe unazungumzia kufanya mkutano usiku kwani una maslahi gani kwake kwani UDOM iko kwenye jimbo la Arusha.
 
Lete ushahidi maana hizo ni tuhuma nzito,

Heshima kwako mzee wa Rula. Huyu bwana Marwa ni mpuuzi na ni wa kupuuza kwa kuleta uvumi hapa jamvini ili tu kumchafulia mbunge wetu na kamanda G. Lema.

Inabidi alete ushahidi hapa la sivyo afunge mdomo au apigwe stop na mods kwa kutuanzishia Jumatatu kwa nuksi
 
Godbless Lema usiku wa kuamkia leo ametoka Udom saa 9 usiku tangu alipo kuja saa 5 usiku kupanga namna ya maandamano na mbinu mbalimbali! Lakini Lema anaingilia mambo ya Udom? Mimi naona baadala ya mgomo kuwa wa kimaslahi na haki ya wanaUdom anaufanya kuwa wa Kichadema na kuwa wa kisiasa zaidi! Nashauri wanasiasa muwe na ukomo katika baadhi ya mambo!
Acha uzandiki wewe Lema hata Arusha hajaondoka, kweli mmezoea kuongopa then mitako inawawasha mkisia jina Lema au CDM
 
Lema alikuwa kwenye mazishi ya Mbogo hapa Arusha jana Jumapili tarehe 12/6/2011 mpaka saa 10 jioni sasa hii ya kwamba alikuwa UDOM usiku imetoka wapi ninyi? Mimi nilimwona Lema na nilihudhuria mazishi
Kwani pale kisongo hakuna ndege za kukodi ili mweshimiwa awahi kuhamasisha vurugu Udom?ha!ha!ha!ha!....hawa kina john marwa inabidi waende kwa Nape ili akawape plan nyingine hii wanayotumia ilshafeli...mtu mzima anadiriki kuandika upupu akifikiri watu ni mazuzu kama yeye....Kweli CDM imewashika Magamba pabaya, jana phd kaongea Chanel 10 wanamlaumu eti kwa nini asisifie bajeti kana kwamba yeye ni msemaji wa mkulo!
 
Back
Top Bottom