Davis chelsea
Member
- Jul 28, 2011
- 93
- 10
Rev squre kama kawa...ivi kina emeka,al shabab na francis ndungur wamerudishwa? Revolution
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rev squre kama kawa...ivi kina emeka,al shabab na francis ndungur wamerudishwa? Revolution
unawajua hao tu machalii ktk harakati sasa kabla ya mjaja hapo kulikuwa na ndunguru mwingine kule udbs alikuwa anapiga bcom finance aisee jamaa aliliwa kichwa na kina masoud na minja kwa ushirikiano mkubwa wa mkandara yani huyu alikuwa mjumbe katika group ya kinaemekha,franci,alishabab n.k....na ryt angekuwepo ule mwaka wa kina emekha jamaa angefanya makubwa mana alikuwa aogopi mtu yoyote...mkandara alimwita mara nyingi mno ofisini kumwonya ila mwisho walimla kichwa aiseee....ila najua ipo cku yule jamaa atarudi kwenye siasa yani madogo mlikosa mengi sana na ndie huyu ndunguru (co francis) aliepigania akiwa na kina marwa hadi bumu likapandishwa....hakika udbs haitawasahau ndunguru,emekha,francis ndunguru na wanaharakati wengine wa bcom