Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Tusipowaachanisha watauana. Kati yao mgomvi nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa chini kauanzisha na wa juu anauendeleza
Huyo wa juuu...
![]()
Tusipowaachanisha watauana. Kati yao mgomvi nani?
Kuna mdada mmoja jirani yangu hapa nimemwonyesha akasema, "huyo dada wa juu ndiye mgomvi"
Subiri kidogo tafadhali, naomba definition ya ugomvi/ugoni
Kuchokoza, kuchokonoa, kuumiza, kupiga, kubonda, kutwanga, kutusi, kuzodoa....
Kuchokoza, kuchokonoa, kuumiza, kupiga, kubonda, kutwanga, kutusi, kuzodoa....