kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hawa ndio huwajaza maji mashabiki mazwa zwa kwanini hawaisaidii yanga kushinda kesi za wachezaji wao huko caf!Kufuatia sakata la Simba kugomea mechi ya Watani wa Jadi, Machi 8 Mwanasheria Alex Mgongolwa amesema; "Kikanuni Yanga itaweza kunufaika kwa kupewa alama tatu pamoja na kukabidhiwa fidia baada ya kupeleka madai kutokana na tendo lilofanyika lilikuwa ni kinyume na kisheria"
Soma, Pia
Huyu ni wale wanaitwa bush lawyerHivi huyu mtu kasomea sheria kweli au ni shabiki oya oya tu
Wewe ni miongoni mwa Mbuzi Sc mkuu?Ninashauri Simba wajiondoe Ligi kuu,ili Yanga,iendelee bila upinzani.
Sioni faida za hizo timu kwa wananchi bali kelele January to DecemberWewe ni miongoni mwa Mbuzi Sc mkuu?
Nimemsikia huyu mzee,nadhani anaongozwa na hisia za ushabiki wa nyuma mwiko kuliko kuangalia kweli za kisheriaKufuatia sakata la Simba kugomea mechi ya Watani wa Jadi, Machi 8 Mwanasheria Alex Mgongolwa amesema; "Kikanuni Yanga itaweza kunufaika kwa kupewa alama tatu pamoja na kukabidhiwa fidia baada ya kupeleka madai kutokana na tendo lilofanyika lilikuwa ni kinyume na kisheria"
Soma, Pia
Tatizo wengi huko nyuma mwiko hamna akili,Simba walisema hawatapeleka timu uwanjani wahusika wote wasipochukuliwa hatua.Simba bhana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. kabla ya tamko la TFF mlisema hampeleki timu uwanjani sababu kanuni hazijafuatwa, baada ya tamko sababu imebadilika hamjapeleka timu sababu TFF imesema hakuna mechi.
Mshasahau sababu yenu ya mwanzo, mshasahau tamko la kutocheza mechi mlilitoa kabla ya maamuzi ya TFF.
Simba hamjapeleka timu uwanjani kwa sababu mnaogopa kucheza na yanga. Hizi zingine ni blah blah tu
Mnaogopa kucheza na yanga., izo zingine ni blah blah tuTatizo wengi huko nyuma mwiko hamna akili,Simba walisema hawatapeleka timu uwanjani wahusika wote wasipochukuliwa hatua.
Inahitaji akili ya kuvukia barabara tu kujua iwapo hatua zingechukuliwa mapema Simba wangepeleka timu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wakili hana shida jamani amezungukwa na vichaa na sababu ana njaa lazima nae ajifanye kichaa.Kumbe huyu Wakili bure kabisa! Yaani kosa lifanywe na bodi ya ligi adhabu apewe simba!
Simba bhana ππππ.. kabla ya tamko la TFF mlisema hampeleki timu uwanjani sababu kanuni hazijafuatwa, baada ya tamko sababu imebadilika hamjapeleka timu sababu TFF imesema hakuna mechi.
Mshasahau sababu yenu ya mwanzo, mshasahau tamko la kutocheza mechi mlilitoa kabla ya maamuzi ya TFF.
Simba hamjapeleka timu uwanjani kwa sababu mnaogopa kucheza na yanga. Hizi zingine ni blah blah tu
Kanuni inasemaje kuhusu kuhairisha mechi.Watu wa Yanga wanakwama wapi? Kila siku Yanga wanapiga za uso linapokuja suala la kanuni na Sheria. Mechi ambayo imeahirishwa unapewaje point 3?
Kesho Ali kamwe atakuwa na kesi pale TFF ataenda na mwanasheria kama huyu, kwanini usifungiwe, unakuwa na kesi CAS unaenda na huyu jamaa kwanini usile za uso.