Mgonjwa wa akili aliingia saluni na kujifuta kichwa na taulo kisha akaondoka

Mgonjwa wa akili aliingia saluni na kujifuta kichwa na taulo kisha akaondoka

Ni mimi ndo nilimyoa huyo kichaa na wembe huku chini kwa giriki ukipita matejoo kumbe alifika sakina?
 
Kuna mahali niomba msaada ndugu mchangiaji?

Umeandika habari za kichaa kufanya jambo la kushangaza, wakati vichaa hufanya mambo ya kushangaza kwa sababu ya shida ya akili...

Ingekuwa yote hayo yamefanywa na mtu mwenye akili timamu, basi kweli ingekuwa ni jambo la kushangaza...
 
Habari wakuu?
Iko hivi kwa ufupi,Mimi sio muandishi mzuri Kuna saloon napenda kunyoa pande flani za sakina arusha(nimetaja jina Ili kama Kuna Wana jf walioona wajazie nyama)
Pale saloon tulikua watu watano kinyozi alikua akimnyoa dogo mmoja na sisi watatu tumekaa kwenye sofa huku tukisubiria dogo anyolewe tufuate.
Mlango wa kuingia saloon uko kwa nyuma yetu so ukiangalia kule mbele kwa kinyozi unaona nyuma mtu anayezama ndani!
Sasa Mimi kuangalia mbele nikaona Kuna jomba mmoja mlemavu wa akili sisi tunaitaga vichaaa amevaa manguo mengi ametua mizigo yake hapo mlangoni machupa,mifupa na vitu sijui nini!!
Taratibu akasukuma mlango wa saloon akatinga ndani,alikua amenyoa nywele kama na wembe hivi upara ila kama amejikataka kichwani manake Kuna damu damu na mabaki ya nywele kama matuta!
Sasa alivyotimba tu wale wenzangu na mimi wote tukashtuka tukanyanyuka na kufreez tukasimama upande wa kinyozi!
Yule jomba akakaa kweli like sofa akajaa pale na manguo yake,hakuna aliyeongea zaidi ya kinyozi kuzima mashine na dogo aliyenyolewa upande wa kushoto na shuka lake na wote sisi kutoka nje ya saloon!
Baadae ya kutoka kinyozi anashika simu sijui anaupiga polisi au wapi,ikabidi niite raia kumchungulia jomba tunamuona kashika zile taulo za saloon anafuta kichwa chake,taulo zote zikawa nyeusi tiii!
Mwenyekiti akasema tumvungie,akatoka bila kugusa chochote akaokota mzigo wake hapo nje,mzito niliutesti haukosi kilo 20 akatembea zake!!!

Jamaa ilibidi afunge saloon saa ile ile juzi akaenda tafuta wachungaji na mafuta na machumvi anahisi ni mashetani!
Ndio hivyo ila mi sielewi
Hopeless
 
"Tukafreeze nyuma ya kinyozi"
Hivi siku hizi hakunaga tena ile sheria ya kupitia mgambo kwa lazima kwa mujibu wa sheria?
 
Habari wakuu?

Iko hivi kwa ufupi, Mimi sio muandishi mzuri Kuna saloon napenda kunyoa pande flani za Sakina Arusha(nimetaja jina Ili kama kuna Wana JF walioona wajazie nyama)

Pale saloon tulikua watu watano kinyozi alikua akimnyoa dogo mmoja na sisi watatu tumekaa kwenye sofa huku tukisubiria dogo anyolewe tufuate.

Mlango wa kuingia saloon uko kwa nyuma yetu so ukiangalia kule mbele kwa kinyozi unaona nyuma mtu anayezama ndani.

Sasa Mimi kuangalia mbele nikaona Kuna jomba mmoja mlemavu wa akili sisi tunaitaga vichaaa amevaa manguo mengi ametua mizigo yake hapo mlangoni machupa, mifupa na vitu sijui nini.

Taratibu akasukuma mlango wa saloon akatinga ndani, alikua amenyoa nywele kama na wembe hivi upara ila kama amejikataka kichwani manake Kuna damu damu na mabaki ya nywele kama matuta.

Sasa alivyotimba tu wale wenzangu na mimi wote tukashtuka tukanyanyuka na kufreez tukasimama upande wa kinyozi.

Yule jomba akakaa kweli like sofa akajaa pale na manguo yake, hakuna aliyeongea zaidi ya kinyozi kuzima mashine na dogo aliyenyolewa upande wa kushoto na shuka lake na wote sisi kutoka nje ya saloon.

Baadae ya kutoka kinyozi anashika simu sijui anaupiga polisi au wapi, ikabidi niite raia kumchungulia jomba tunamuona kashika zile taulo za saloon anafuta kichwa chake,taulo zote zikawa nyeusi tiii.

Mwenyekiti akasema tumvungie, akatoka bila kugusa chochote akaokota mzigo wake hapo nje, mzito niliutesti haukosi kilo 20 akatembea zake.

Jamaa ilibidi afunge saloon saa ile ile juzi akaenda tafuta wachungaji na mafuta na machumvi anahisi ni mashetani!

Ndio hivyo ila mi sielewi
Halafu siyo Saloon, ni Salon. Saloon ni aina ya gari!
 
Arusha huko mjue mwenzenu aliisha kunywa dawa.

Sasa wanaume watano mnaenda kujificha na kinyozi duuuu,

Na angejaza kimba humu na awaamrishe mzoe.

Wenzenu hapo kwa uhuru waliingia mjengoni hadi kubeba ngao, nyi mnafeli sana
 
Habari wakuu?

Iko hivi kwa ufupi, Mimi sio muandishi mzuri Kuna saloon napenda kunyoa pande flani za Sakina Arusha(nimetaja jina Ili kama kuna Wana JF walioona wajazie nyama)

Pale saloon tulikua watu watano kinyozi alikua akimnyoa dogo mmoja na sisi watatu tumekaa kwenye sofa huku tukisubiria dogo anyolewe tufuate.

Mlango wa kuingia saloon uko kwa nyuma yetu so ukiangalia kule mbele kwa kinyozi unaona nyuma mtu anayezama ndani.

Sasa Mimi kuangalia mbele nikaona Kuna jomba mmoja mlemavu wa akili sisi tunaitaga vichaaa amevaa manguo mengi ametua mizigo yake hapo mlangoni machupa, mifupa na vitu sijui nini.

Taratibu akasukuma mlango wa saloon akatinga ndani, alikua amenyoa nywele kama na wembe hivi upara ila kama amejikataka kichwani manake Kuna damu damu na mabaki ya nywele kama matuta.

Sasa alivyotimba tu wale wenzangu na mimi wote tukashtuka tukanyanyuka na kufreez tukasimama upande wa kinyozi.

Yule jomba akakaa kweli like sofa akajaa pale na manguo yake, hakuna aliyeongea zaidi ya kinyozi kuzima mashine na dogo aliyenyolewa upande wa kushoto na shuka lake na wote sisi kutoka nje ya saloon.

Baadae ya kutoka kinyozi anashika simu sijui anaupiga polisi au wapi, ikabidi niite raia kumchungulia jomba tunamuona kashika zile taulo za saloon anafuta kichwa chake,taulo zote zikawa nyeusi tiii.

Mwenyekiti akasema tumvungie, akatoka bila kugusa chochote akaokota mzigo wake hapo nje, mzito niliutesti haukosi kilo 20 akatembea zake.

Jamaa ilibidi afunge saloon saa ile ile juzi akaenda tafuta wachungaji na mafuta na machumvi anahisi ni mashetani!

Ndio hivyo ila mi sielewi
Poleni.
Kwa jinsi ulivyoelezea ni dhahiri alikuja kumalizia huduma aliyojianzishia ya kujinyoa. Kajiswafi kasepa. Huyo aliyeenda kwa wachungaji ndio kichaa zaidi anaenda kuchapwa hela tu...
 
Back
Top Bottom